Sio ishule iyo tu isiyo na walimu wakutosha bali zpo nyng tu nchin kwa sasa.
Ni kweli serikali inatakiwa kuajili walimu wengine shule zote za sekondari na msingi pia hasa pale inapowezekana mana kwa pamoja si jambo rahisi
Wadau, mwenye tetesi yoyote kuhusu hili, maana naona muda unaisha kwa wale wasiopenda kuomba mkopo kabla ya kujua matokeo yao kwa waliofanya mtihani mwaka huu.
Ndugu zangu wapendwa,naomba kujua hii foundation course inahusika na nn,na vigezo vya kujiunga na kozi hii ni vp,pia masomo yanayoambatana na kozi hii ni yap?
Kwa anaejua chochote juu ya hili,naomba anisaidie...
Natanguliza shukran zangu kwenu.
Ndg zang nimekuwa nikisikia minong'ono juu ya kupandishwa mararaja watumishi wa umma mwaka huu.
Je!. …hili linaukwl wowote!?
Kwa anaejua lolote juu ya hili,msaada pls.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.