jamani eeh hiyo haikuwa shughuli ya kisiasa hiyo ilikuwa shughuli ya kimahakama yaan LAW DAY, wala c birthday ya JK, hivyo mbowe alikuwa na haki zoote za kufika hapo na kama ilivyo destuli salamu kwetu watz ni jambo la kawaida hasa tukionesha ni kwajinsi gani twadumisha aman, ila katika kitendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.