VISINGIZIO HIVI VIMECHELEWESHA WENGI KUFANIKIWA KIFEDHA.
Achana navyo mara moja.
"visingizio ni kichaka cha watu waliojikatia tamaa ya mafanikio."
Ukiona mtu yeyote anajivunia visingizio huyo ujue alishajitoa kwenye safari ya watu wanaopambania ukuu wao.
Yaani amechagua kuwa mtu dhaifu asiye...
Hakuna kitu kinarudisha Nyuma maendeleo ya wafanyabiashara wengi kama utapeli wa Mtandaoni.
Mtu unafanya kazi unajikusanya alafu mtu anakuja kukutapeli.
Nimekutana na tapeli ambaye anaishi Dubai na kazi yake ni kutapeli Watanzania kwa kudanganya kuwa anauza magari. Ametutapeli zaidi ya watu...
Kila Mmoja anafahamu kuwa msimu wa siku watu hununua mahitaji mbalimbali. Naomba tusaidiane. Ni biasahra gani ya msimu huu wa siku mtu anaweza kufanya?
Habari. Kwenye harakati za utafutaji hasa biashara tunahitaji watu.
Kati ya maeneo ambayo mtu unaweza kufanya biashara kwa wepesi ni kwenye magulio.
Naomba kujua siku za gulio maeneo tofauti tofauti Dar es Salaam. Kutaja utajua umesaidia Wajasiriamali wengi.
JOB HUNTING TACTICTICS
Kijana wa kiume unaetafuta kazi bila mafanikio usiache kupitia hii post.
Wanaume muda mwingine muache kuandika CVs ovyo ovyo Sometimes Save some money. Shiriki kwenye hizi Marathon za umbali mrefu alafu kimbia kama 1Km then walk the rest of the race, hapo ndio hawa...
Fanya hivi, wachukue watu wanne halafu watume wakaangalie mti mmoja kisha walete majibu kila mtu kaona nini.
Nilifanya hivyo kwenye mafunzo mahali, mmoja akasema ameona mti una sisimizi wengi, mwingine akasema ameona mizizi iko juujuu,
Wa tatu akasema ameona kunguru kwenye matawi wamechafua...
Ni swali hili. Niko kwenye Biashara hii muda wa miaka miwili sasa, kiwanja unaweza kununua asubuhi 4M. Jioni akaja mtu anataka umuuzie kwa 5M. Ardhi haishuki thamani.
....
Kuna hivi nauza✍️
Unatafuta kiwanja sehemu nzuri iliyojengeka, karibu, Usafiri usiosumbua na mahali palipo na huduma zote...
Kuna watu wako maalum KUUA NDOTO YAKO(Dream killer) , Ni aina ya watu wabaya ambao kazi yao ni kuhakikisha wewe hufanyi kitu na hufanikiwi kutimiza ndoto yako.
-
Ni watu gani?
-
1.Mtu mwenye imani ndogo.
Huyu ni mtu anaamini katika udogo, haamini kama unaweza kuwa na biashara kubwa, haamini kama...
Eneo lenye ukubwa wa heka 45 linauzwa eneo lipo mkoa wa pwani vigwaza visezi barabara ya kuelekea bandari kavu eneo ni zuli kwa kujenga yard gereji na Mambo mengine bei kwa kila heka moja mil 3 tu kutoka barabara ya zege miter 400 tu maji umeme vipo hapo
Eneo lingine lipo mkoa wa pwani pia...
Story, Kuna Dada mmoja alilala na mme wa mtu, bahati mbaya yule mwanaume usiku ule wakiwa wote akafariki.
Familia ya yule Baba wakajua hivyo wakaenda kumshitaki Mahakamani yule dada kwa kesi ya Mauaji.
_
Yule Dada akahukumiwa kifungo cha maisha, alipopelekwa jela alikua analia sana...
Kama una tatizo katika mwili wako na inahitajika ufanyiwe upasuaji (operation/surgery).
Na wakawepo watu wawili, mmoja ni rafiki yako wa karibu unayempenda lakini hana utaalamu wowote juu ya upasuaji na mwili wa binadamu lakini wa pili ni mtaalamu na ana uwezo mkubwa wa upasuaji kutokana na...
Mfano umepanga Kukutana na mtu ambaye humjui sura kwa jambo la msingi Stend ya Mabus ya Magufuli,Mbezi.
Baada ya kupanga kuwa mtakutana pale, ghafla ukapoteza simu na namba yake huijui.
Kwakua tayari mlikuwa mmepanga kuonana unaamua kwenda tu.
Baada ya kufika, unakuta kuna watu wengi...
OK HII HAIJAWAHI KUTOKEA, NI OFA BABU KUBWAA
FUNGA MWAKA KWA KUMILIKI KIWANJA CHA MAKAZI KWA BEI NAFUU. Karibu kwenye mradi wetu mpya wa viwanja kwa bei ya LAKI SABA TU (700,000/=). Hii ni bei kwa wateja watakaolipia kwa Cash. Na LAKI NANE TU (800,000/=) kwa wateja watakaolipia kwa installment...
Nyumba inauzwa bunju A
Ina vyumba vitatu sitting room dining room kitchen store public toilet
Uwanja ni sqm700
Inauzwa pamoja na fenicha zake ndani.
Bei 150m
0762815104
Habari, Kama uzi unavyojieleza. Nitakua nikipost hapa nyumba, Viwanja vikubwa na Apartment zinazouzwa. Location na bei. Zaidi ni nyumba za Dar es Salaam
Viwanja KIBAHA - PANGANI - Lumumba Street.
-Ni mradi mzuri na wa kuvutia sana.
-Mradi upo kilomita chache kutoka Loliondo Stand na kwa njia nyingine waweza pitia Kibamba Shule.
-Ni sehemu nzuri na ya kuvutia sana.
-Huduma za kijamii kama maji,umeme,shule zinapatikana.
-Neighbourhood yake...
Miaka mitano iliyopita nilipata wazo la kugeuza taaluma yangu ya ualimu na passion ya usomaji, kujifunza na kufundisha kuwa ajira. Nikawa na mpango wa kufundisha Kwenye radio, TV, semina, makongamano, vyuo na taasisi mbalimbali na kuzalisha podcast zangu.
Nikamshirikisha rafiki yangu mmoja...
Ni wazi kuwa kwa sasa kuna tatizo kubwa la ajira nchini. Ni jambo la kawaida kabisa Watu 1000 kugombea nafasi tano za kazi. Rejea Ajira za Elimu na Aya zilizotolewa na Tamisemi mwaka Huu 2021.
Pamoja na changamoto nyingi za Kujiajiri lakini tunaweza kuanza taratibu hatimaye Kujiajiri kupitia...
JENGA IMANI/UAMINIFU.
Biashara, hivi sasa zinahamia katika digital platforms. Kuna majukwaa mengi ambayo wateja wanakutana na wauzaji na kufanya biashara bila kuonana.
Mifumo hii imeongeza mauzo, na kukuza biashara nyingi, na nguzo kubwa ya mafanikio kwenye majukwaa (platforms) hizi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.