Search results

  1. Kibenje KK

    Viepuke hivi, visingizio, vimechelewesha wengi kufanikiwa kifedha

    VISINGIZIO HIVI VIMECHELEWESHA WENGI KUFANIKIWA KIFEDHA. Achana navyo mara moja. "visingizio ni kichaka cha watu waliojikatia tamaa ya mafanikio." Ukiona mtu yeyote anajivunia visingizio huyo ujue alishajitoa kwenye safari ya watu wanaopambania ukuu wao. Yaani amechagua kuwa mtu dhaifu asiye...
  2. Kibenje KK

    Utapeli mtandaoni kutoka Mtanzania anayeishi Dubai

    Hakuna kitu kinarudisha Nyuma maendeleo ya wafanyabiashara wengi kama utapeli wa Mtandaoni. Mtu unafanya kazi unajikusanya alafu mtu anakuja kukutapeli. Nimekutana na tapeli ambaye anaishi Dubai na kazi yake ni kutapeli Watanzania kwa kudanganya kuwa anauza magari. Ametutapeli zaidi ya watu...
  3. Kibenje KK

    Biashara msimu wa sikukuu. Zipi biashara za kufanya

    Kila Mmoja anafahamu kuwa msimu wa siku watu hununua mahitaji mbalimbali. Naomba tusaidiane. Ni biasahra gani ya msimu huu wa siku mtu anaweza kufanya?
  4. Kibenje KK

    Siku za gulio Dar es Salaam

    Habari. Kwenye harakati za utafutaji hasa biashara tunahitaji watu. Kati ya maeneo ambayo mtu unaweza kufanya biashara kwa wepesi ni kwenye magulio. Naomba kujua siku za gulio maeneo tofauti tofauti Dar es Salaam. Kutaja utajua umesaidia Wajasiriamali wengi.
  5. Kibenje KK

    Job hunting tactictics

    JOB HUNTING TACTICTICS Kijana wa kiume unaetafuta kazi bila mafanikio usiache kupitia hii post. Wanaume muda mwingine muache kuandika CVs ovyo ovyo Sometimes Save some money. Shiriki kwenye hizi Marathon za umbali mrefu alafu kimbia kama 1Km then walk the rest of the race, hapo ndio hawa...
  6. Kibenje KK

    Mitazamo yetu inaweza kuathiri vipi maisha yetu?

    Fanya hivi, wachukue watu wanne halafu watume wakaangalie mti mmoja kisha walete majibu kila mtu kaona nini. Nilifanya hivyo kwenye mafunzo mahali, mmoja akasema ameona mti una sisimizi wengi, mwingine akasema ameona mizizi iko juujuu, Wa tatu akasema ameona kunguru kwenye matawi wamechafua...
  7. Kibenje KK

    Kuna uwekezaji wa faida na uhakika Tanzania kama Kwenye Ardhi?

    Ni swali hili. Niko kwenye Biashara hii muda wa miaka miwili sasa, kiwanja unaweza kununua asubuhi 4M. Jioni akaja mtu anataka umuuzie kwa 5M. Ardhi haishuki thamani. .... Kuna hivi nauza✍️ Unatafuta kiwanja sehemu nzuri iliyojengeka, karibu, Usafiri usiosumbua na mahali palipo na huduma zote...
  8. Kibenje KK

    Aina ya watu unaopaswa kuwaepuka kwenye maisha yako. Hawa ni sumu ya mafanikio yako.

    Kuna watu wako maalum KUUA NDOTO YAKO(Dream killer) , Ni aina ya watu wabaya ambao kazi yao ni kuhakikisha wewe hufanyi kitu na hufanikiwi kutimiza ndoto yako. - Ni watu gani? - 1.Mtu mwenye imani ndogo. Huyu ni mtu anaamini katika udogo, haamini kama unaweza kuwa na biashara kubwa, haamini kama...
  9. Kibenje KK

    Uwekezaji ambao hautakuangusha ni kuwekeza kwenye Ardhi, haiozi na inapanda thamani kila siku. Kwa sasa mkoa wa Pwani ni deal hasa Morogoro road.

    Eneo lenye ukubwa wa heka 45 linauzwa eneo lipo mkoa wa pwani vigwaza visezi barabara ya kuelekea bandari kavu eneo ni zuli kwa kujenga yard gereji na Mambo mengine bei kwa kila heka moja mil 3 tu kutoka barabara ya zege miter 400 tu maji umeme vipo hapo Eneo lingine lipo mkoa wa pwani pia...
  10. Kibenje KK

    Jifunze jambo juu ya Story ya Dada, Athari za maneno ya kuambiwa

    Story, Kuna Dada mmoja alilala na mme wa mtu, bahati mbaya yule mwanaume usiku ule wakiwa wote akafariki. Familia ya yule Baba wakajua hivyo wakaenda kumshitaki Mahakamani yule dada kwa kesi ya Mauaji. _ Yule Dada akahukumiwa kifungo cha maisha, alipopelekwa jela alikua analia sana...
  11. Kibenje KK

    Nifanye nini niache kukataliwa, nianze kupewa nafasi kazini au kwenye fursa mbalimbali?

    Kama una tatizo katika mwili wako na inahitajika ufanyiwe upasuaji (operation/surgery). Na wakawepo watu wawili, mmoja ni rafiki yako wa karibu unayempenda lakini hana utaalamu wowote juu ya upasuaji na mwili wa binadamu lakini wa pili ni mtaalamu na ana uwezo mkubwa wa upasuaji kutokana na...
  12. Kibenje KK

    Nani ni mteja wako? Mbinu za kumtambua mteja wa biashara yako

    Mfano umepanga Kukutana na mtu ambaye humjui sura kwa jambo la msingi Stend ya Mabus ya Magufuli,Mbezi. Baada ya kupanga kuwa mtakutana pale, ghafla ukapoteza simu na namba yake huijui. Kwakua tayari mlikuwa mmepanga kuonana unaamua kwenda tu. Baada ya kufika, unakuta kuna watu wengi...
  13. Kibenje KK

    House4Sale Viwanja bei ya ofa vikindu kwa laki saba tu

    OK HII HAIJAWAHI KUTOKEA, NI OFA BABU KUBWAA FUNGA MWAKA KWA KUMILIKI KIWANJA CHA MAKAZI KWA BEI NAFUU. Karibu kwenye mradi wetu mpya wa viwanja kwa bei ya LAKI SABA TU (700,000/=). Hii ni bei kwa wateja watakaolipia kwa Cash. Na LAKI NANE TU (800,000/=) kwa wateja watakaolipia kwa installment...
  14. Kibenje KK

    Plot4Sale Nyumba kali sana na furniture zake, Iko Bunju. Inauzwa

    Nyumba inauzwa bunju A Ina vyumba vitatu sitting room dining room kitchen store public toilet Uwanja ni sqm700 Inauzwa pamoja na fenicha zake ndani. Bei 150m 0762815104
  15. Kibenje KK

    Contena linauzwa kwa matumizi ya biashara

    CONTENA ZINAUZWA FUTI~>40 LOCATION : MBAGALA BEI: MILLION 7 @ MAONGEZI YAPO FULL DOCUMENTS CALL ME ~>0762815104 #WHATSAPP ~>0762815104
  16. Kibenje KK

    House4Sale Kwa wanaohitaji nyumba na Apartment za kununua tukutane hapa

    Habari, Kama uzi unavyojieleza. Nitakua nikipost hapa nyumba, Viwanja vikubwa na Apartment zinazouzwa. Location na bei. Zaidi ni nyumba za Dar es Salaam
  17. Kibenje KK

    Plot4Sale Viwanja Kibaha kwa bei nafuu ya ofa

    Viwanja KIBAHA - PANGANI - Lumumba Street. -Ni mradi mzuri na wa kuvutia sana. -Mradi upo kilomita chache kutoka Loliondo Stand na kwa njia nyingine waweza pitia Kibamba Shule. -Ni sehemu nzuri na ya kuvutia sana. -Huduma za kijamii kama maji,umeme,shule zinapatikana. -Neighbourhood yake...
  18. Kibenje KK

    SoC01 Siri inayoweza kukusaidia kama unashindwa kuanza jambo lako

    Miaka mitano iliyopita nilipata wazo la kugeuza taaluma yangu ya ualimu na passion ya usomaji, kujifunza na kufundisha kuwa ajira. Nikawa na mpango wa kufundisha Kwenye radio, TV, semina, makongamano, vyuo na taasisi mbalimbali na kuzalisha podcast zangu. Nikamshirikisha rafiki yangu mmoja...
  19. Kibenje KK

    SoC01 Namna ya kuuza Kipaji, Ujuzi au Taaluma yako

    Ni wazi kuwa kwa sasa kuna tatizo kubwa la ajira nchini. Ni jambo la kawaida kabisa Watu 1000 kugombea nafasi tano za kazi. Rejea Ajira za Elimu na Aya zilizotolewa na Tamisemi mwaka Huu 2021. Pamoja na changamoto nyingi za Kujiajiri lakini tunaweza kuanza taratibu hatimaye Kujiajiri kupitia...
  20. Kibenje KK

    Unawezaje kujenga imani kwa wateja wako?

    JENGA IMANI/UAMINIFU. Biashara, hivi sasa zinahamia katika digital platforms. Kuna majukwaa mengi ambayo wateja wanakutana na wauzaji na kufanya biashara bila kuonana. Mifumo hii imeongeza mauzo, na kukuza biashara nyingi, na nguzo kubwa ya mafanikio kwenye majukwaa (platforms) hizi ni...
Back
Top Bottom