Unajiuliza ukauze BIDHAA zako wapi?
Sio lazima ukae kwenye frem yako kila siku kusubiri wateja, unaweza kutafuta siku ambazo kuna Gulio maeneo mbalimbali ukaenda kuuza bidhaa zako.
.
Pia hii ni sehemu nzuri kwa wasio na frem. Fuata wateja walipo.
.
Uzuri wa siku za gulio kunakua na watu...
VISINGIZIO HIVI VIMECHELEWESHA WENGI KUFANIKIWA KIFEDHA.
Achana navyo mara moja.
"visingizio ni kichaka cha watu waliojikatia tamaa ya mafanikio."
Ukiona mtu yeyote anajivunia visingizio huyo ujue alishajitoa kwenye safari ya watu wanaopambania ukuu wao.
Yaani amechagua kuwa mtu dhaifu asiye...
Naona uzi umepoa. Ngoja nishushe vitu.
.
Unataka Kufanya Biashara ya Vyombo vya plastiki kama viti, meza, vikombe, majagi, mabeseni nk. maduka ya viwanda yapo kariakoo mtaa wa Livingstone na Aggrey mpaka mchikichi na mahiwa close huko utapata kwa bei nzuri na ukiuza utapata faida nzuri.
...
Naona uzi umepoa. Ngoja nishushe vitu.
.
Unataka Kufanya Biashara ya Vyombo vya plastiki kama viti, meza, vikombe, majagi, mabeseni nk. maduka ya viwanda yapo kariakoo mtaa wa Livingstone na Aggrey mpaka mchikichi na mahiwa close huko utapata kwa bei nzuri na ukiuza utapata faida nzuri.
...
Asante sana. Nashukuru pia kwa kutambua Mtoa post.
Machimbo ni msaada kwa wengi hasa kwa wale ambao wanaanza Biashara na wenye mitaji midogo wasioweza kwenda China.
.
Unaweza kupata machimbo zaidi na updates za machimbo kwenye page yangu insta ya jina la @kelvinkibenje link...
Hii ni Moja ya biashara nzuri mno
.
Unaweza Kuanza kwa kutembeza mitaani au Kwenye maofisi, anza na dumu 2 zenye ladha tofauti, kuna mtu atataka umchanganyie, mwengine atapenda moja zaidi.
.
Pia jitahidi iwe na ubaridi vizuri maana ndio inayopendwa zaidi. .
.
Pia hakikisha usiuze juice...
Hakuna kitu kinarudisha Nyuma maendeleo ya wafanyabiashara wengi kama utapeli wa Mtandaoni.
Mtu unafanya kazi unajikusanya alafu mtu anakuja kukutapeli.
Nimekutana na tapeli ambaye anaishi Dubai na kazi yake ni kutapeli Watanzania kwa kudanganya kuwa anauza magari. Ametutapeli zaidi ya watu...
Nimewahi kupigwa matukio makubwa mawili (Nasisitiza MAKUBWA) ndani ya week na watu wawili tofauti. Hayo matukio yalinipeleka mpaka polisi Nikaharibu uhusiano na watu wengi na kupoteza pesa nyingi mno na kupoteza utulivu wa akili.
Aisee mi nimekoma kuamini watu haraka.
.
Sio kila mtu ana roho...
Mkuu naomba tuwasiliane tufanye kazi pamoja. Huu uzoefu wako ni pesa. Ninafanya kazi na Wajasiriamali na wafanyabiashara wengi tunaweza kuunganisha nguvu pamoja kuwasaidia na kuoitia kuwasaidia sisi pia tukapata kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.