Habar wakuu
Kama kichwa kinavojieleza hapo juu, kwanza nikiri sijawah ku order chochote online, sasa nmejikuta nmependezwa na bidhaa zao na bei ya bidhaa zao sasa nkajarbu ku order nmefanikiwa na kubakisha step moja tu ya kulipia kama inavojieleza hapo
Sasa nahtaj msaada kwa aliewah ku order...
Jipatie king'amuz cha dstv sasa na uenjoy burudani kama zote HV.
Kifurushi cha bomba ndani ya wiki hii
• UEFA Champions League – SS 8
• Serie A – SS 8
• CAF Confederation Cup – SS 9
• Zambia Super Division – SS 9
• CAF Champions League – SS 9
• WWE- SS 4
• Net Ball – SS 1O
• Rugby – SS 8
•...
Mke na mume baada ya kuoana kila mmoja kat yao alikuwa na story ya kumuadisia mwenzie ilikuw hiv;
Mume. "Mm wakat cjaoa nilikuwa natembea na madem wote wanaojiuza"
Mke."ndo maana sura yako sio ngeni"
[emoji38][emoji38][emoji28]🤣🤣🤣
Sent using Jamii Forums mobile app
ALEXIS Sanchez bwana. Eti anataka mshahara wa pauni 400,000 kwa wiki ili aendelee kubaki Arsenal.
Hivi anajua kuwa ligi nzima ya Ujerumani ‘Bundesliga’ hakuna mchezaji anayelipwa pauni 200,000 kwa wiki. Mchezaji anayelipwa ghali pale ni Roberto Lewandowski, tena ni pauni 180,000 tu kwa wiki...
Habari wakuu,
Kutokana na ugumu wa maisha na ajira ndo hatuelewi kama zitakuja lini nilipata wazo la kuuza simu yangu pendwa Tecno W3 kwa laki moja na kuamua kufanya hivi;
Kama muonavyo hapo juu, nilinunua Yebo aina na rangi mbalimbali, mifuko ya sulfate(kipindi cha mavuno hiki), chumvi...
HII NDIYO SIMBA SPORTS CLUB HAKIKA IMETUFURAHISHA MASHABIKI WENU 2016 / 2017
Simba wanachukua Kombe la FA kama Ambavyo Yanga Wamechukua Kombe La Ligi,
Simba Itawakilisha Tanzania Michuano ya Africa Kama Ambavyo Yanga Itawakilisha
Simba Imeifunga Yanga Kwenye Ligi kuu, Pia Simba Imeifunga...
Yan leo afe kipa, afe beki msitoke uwanjan bila ushindi, maana ndo njia panda ya kushiriki kimataifa leo.
C mnajua miaka mingap hatujashiriki huko mbele????? Naiman hamtatuangusha
Siku zote nyani haoni kundule hivi hawa Yanga wanacho kilalamikia hata sikioni maana wamejawa lawama kama wao ndiyo timu pekee hapa nchini yenye nguvu kuliko timu zozote,wao wanalalamika kuwa kamati imejaa watu wa simba hivi watu hawa wa Simba wanao daiwa wamejaa kwenye kamati si ndiyo hawa...
KWANZA niwapongeze Simba SC. Kutoka nyuma 2-0 hadi dakika nane kabla ya kumalizika kwa mchezo, kisha kushinda 3-2 baada ya dakika 90 ni jambo la kujivunia kama timu. Hasa ukizingatia walikuwa ugenini dhidi ya Mbao FC ambao tayari walishawaangusha vigogo kama Azam FC na Mtibwa Sugar katika uwanja...
PASS YA IBRAHIM AJIBU vs TZ PRISONS
Na prof. Mikazo
Jana kulikuwa na mchezo mkali sana wa wa ligi kuu ya vodacom mabingwa wa muda wote wa CECAFA dhidi ya TZ Prison na Simba kuibuka na ushindi mnonon wa goli 3-0 huku Simba akicheza mpira mwingi sana kama Barcelona
Siongelei Matokeo sababu...
Mtangazaji:kocha cheche hongera sn
cheche: asante nashukuru
Mtangazaji:unajisikiaje kuiongoza azam ktk mafanikio aya?
cheche: kwakwel ni fahari kubwa kwangu na kwa timu yangu ya azam namshukuru Mola kwa hili
Mtangazaji:licha ya kupata matokeo kwa simba na yanga ugumu gan umekutana nao ktk...
DARASA - MUZIKI
Mashabik & wangazaji: inaonekana diamond ameanza kuota mapembe.
Darasa: aneota mapembe, muongezee mkia.
Diamond: anaejiona yeye mkali tuweke mkali nan show au collabo.
Darasa: let me make one thing clear blah blah blah ctak kuckia,
Diamond: mi ndo simbaa
Darasa: sio simba, sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.