nenda kwa fundi mwambie acheki Ac na power supply.
ila tatizo hapo ni kuwa motherboard imepigwa shoti( electrical shock) na ni lazima ibadilishwe..andaa 120k au zaidi
https://kinondonimc.go.tz/announcement/tangazo-la-kuitwa-kwenye-mafunzo-ya-sensa-kwa-makarani-wasimamizi-wa-maudhui-na-tehama-tarehe-27-julai-2022-wilaya-ya-kinondoni wa kinondoni
wale wa kinondoni.
Habarini za Jioni
kwa wale ambao wanasubiri PDF za Kazi ya Sensa kama haukufanya kazi ya Anuani za Makazi (Postikodi) na sio mkuu wa shule, afisa halmashauri au mratibu elimu kata basi usiweke matumaini sana. Ni bahati mno kupata kama haupo sehemu hizo tajwa.
hata Hao walimu wanaodhaniwa kuwa...
Mtoa Mada kaandika kwa akili kubwa sana..lakini wewe ume reply kwa akili ya kawaida sana. Zanzibar ni kisiwa kile. soon after their isolation from Union government. its going to be the center of terrorism na hata piratism. Tanganyika is safe since Zanzibar is safe.
aisee umewaza kama mimi...kuna wakati nilihisi JPM anamuandaa Mbuge kuwa CDF..maana alipanda vyeo kwa haraka sana..kutoka CO wa 832kJ mpaka ukuu wa JKT ndani ya miezi 13
Kwanza kabisa kilichopo mezani ni kuwa Simba sc imetolewa kwenye Mashindano. hakuna njia nyingine ya ku justify simba's elimination in #CafCL lakini kuna mambo machache yametokea baada ya mechi ambapo binafsi nimeona kama ni kitu kipya sana kwenye mpira wetu.
1: Appreciation kutoka kwa...
Hakuna somo kubwa na siri kubwa jeshini kama UZALENDO. do each and everything for serving your country and countrymen.
Once Patriotism becomes ice in your veins, you will no longer be a corrupt person, you will always put nation's interest first before anything. In short you will self-made a...
hii ina maanisha huu wimbo ulikua haufahamiki na watu wengi. ila possibly kuna superstar atakua aliutumia katika mishe zake hivyo watu wengi kupata fursa ya kuusikia. platform ya Shazam imekua na msaada sana kwa kupata nyimbo ambazo mtunzi wake au jina lake halifahamiki. ina uwezo wa ku capture...
Changamoto hii hata mimi naipata. Nashindwa ku stick for a long time in a relation kwa sababu ya mawasiliano. Cha ajabu wasichana ndio wanapenda sana hayo. Usipomcheki tu ni msala
Ni kweli..am a teacher. Huku mashuleni hali si nzuri. Ukiachana na mimba lakini pia Abortion zimekua nyingi sana kiasi kwamba watoto wa kike hawaishi kuumwa na matumbo na wengine hata morphology zao zime change sana. Yapo mengi ila kwa kifupi nidhamu imekua ndogo sana kwa sasa. We are struggling...
Kuna kitu nahisi baadhi ya wachangiaji ikiwemo G'taxi nahisi hamjakielewaa bado. Anachojaribu kuwasilisha mtoa mada ni kuwa NI HATARI SANA KWA MWANA USALAMA KUZOEA MADARAKA KAMA YA KISIASA MAANA KUNA SIKU TUSIYOIJUA ATATAMANI NA YEYE AKALIE NAFASI ILE ALIYOKALIA YULE ALIYEMTEUA KWA MAANA HAKUNA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.