Aliye kuwa afisa elimu Wilaya ya Magu na baadae kuhamishiwa Dodoma makao makuu ndg Jesse Kaanyuma amefariki jioni hii katika hospitali ya taifa Muhimbili.
Ni taarifa zilizodhibitika kutoka kwa ndugu wa karibu kwenye familia kwa pamoja tunasema poleni walioguswa na msiba huu mzito
Wenye uelewa nisaidieni je ni category gani ya hela inalipwa km sehemu ya mkopo?
a. Ada
b. Boom
C.library requirement.
Au yote tafadhali mwenye uelewa anijuze
Wakuu ambao ni wajasiriamali na wafanyabiashara hebu tufunguke kuhusu haya mambo imani yako ni ipi ktk kufanya biashara je inakusaidia ipasavyo? Imani yako ni ipi katika mafanikio? Yakwangu mtoa mada ni mchanganyiko
Nakaribisha maoni
Wakuu na wajuzi naombeni ushauri juu ya hili tatizo wakati wa tendo analalamika kuhisi pili pili kuta za nje za uke hata kama maandalizi kabla ya tendo yamekuwepo. Pengine akasema ni muda wa miezi km miwili hatujakutana kimwili.
wataalamu naomba mnisaidie je ni watu wenye hadhi gani na mamlaka yapi ya kuitisha Press Conference ikakubalika bila kuwa na vikwazo vya polisi , Je raia wa kawaida anayo hayo mamlaka ya kuitisha Pree conferernce na asibugudhiwe na serikali?
Nakumbuka enzi hizo nikifanya kazi ya ukonda na uchecking barabara ya Mwanza -Musoma ilikuwa ni hatari kupata wasichana wakali hasa wale waliokuwa wanatoka mbali wakifika stand wanakuganda mpaka walibatizwa jina la mateka maisha ya safari ni mazuri ukiwa umekaa na jinsia tofauti inayoeleweka...
wakuu kuna sehemu nimepita nikaona mama fulani ameorodhesha list ya hele za wajerumani al maarufu kama Rupia ambazo zimetumika zamani na akiwa na machinga aliyekuwa akimuuzia hizo sarafu je wakati wa sasa hizo sarafu za ripia bado ni deal ?
nimesoma kiswahili udsm kozi ya ualimu .kiswahili lilikuwa ni somo moja wapo . lakini nimekuwa nasikia viongozi wa nje ya nchi kuhitaji wataalamu wa lugha ya kiswahili huwa najiuliza nani anahusika katika kusaili wahusika je hizi ajira hazitangazwi moja kwa moja serikalini? nisaidieni wataalamu
Ahsante mwanafa kuwaumbua wadada wa mizinga hujamaliza kumtongoza ashalist matatizo lukuki unayopaswa kumtatulia huku akiona papuchi kama defence mechanism kwake. Hii awamu wasubiri kila hela ipo kwenye bajeti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.