Hotel zilizokuwa za serikali kuna ile ya manyara, Ngorongoro crater lodge iko kwenye view nzuri sana nayo imekuwa pagale sasa muhindi kaishindwa, pia kuna seronera serengeti na Lobo wildlife Lodge serengeti kwa uchache ninazokumbuka
Natamani hii thread kila mtu angeisoma, hakika umeandika vitu vya msingi na hekima ya hali ya juu. Ni maswali yanayoumiza na kuendelea kumwagilia siki kny jeraha watu wana maumivu sana. Bless
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.