Search results

  1. issenye

    Video vixen Nai akumbuka bata la Sabaya

    Nai Akumbuka Bata la Sabaya Bado kifungo cha miaka 30 jela kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ni gumzo Bongo. Naye mrembo ambae ni video vixen na mjasiriamali, Nai ameibuka na kumuonea huruma mkuu huyo wa wilaya. Nai ametumia ukurasa wake wa Instagram kuonesha masikitiko...
  2. issenye

    Balile: DPP, IGP, DCI lifutieni taifa aibu kesi ya Mbowe

    Na Deodatus Balile Imenichukua muda kuandika makala hii. Ninafahamu kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, anashitakiwa kwa tuhuma za kufadhili ugaidi kwa Sh 600,000. Anashitakiwa pia kwa tuhuma za kupanga njama za kulipua vituo vya mafuta katika miji ya...
  3. issenye

    RC Chalamila: Nahitaji Busara Kuuongoza Mkoa wa Mwanza

    MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amewaomba wakuu wa idara na watendaji wa Serikali mkoani humo kumuazima busara akidai za kwake pekee hazitotosha. Chalamila ametoa ombi hilo leo Jumatatu Mei 24, 2021 wakati akizungumza na watendaji, wafanyabiashara, wakuu wa idara, viongozi wa dini na...
  4. issenye

    Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

    Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao. Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema...
  5. issenye

    Hotuba ya bajeti kambi ya upinzani mambo ya nje 2019/2020

    HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA MAMBO YA NJE, USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI, KIKANDA NA KIMATAIFA, MHESHIMIWA ESTHER NICHOLAS MATIKO (MB), KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA HIYO, KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020 A. UTANGULIZI 1...
  6. issenye

    Alikiba na Samatta wafungukia mechi yao

    May 30, 2019 by Global Editor Mbwana Samatta amefunguka kumpiga mabao mengi ali kiba katika mechi yao ya Team Samatta na Team Kiba itakayopigwa june 02, 2019. Kampeni ya Nifuate hivi sasa ni msimu wake wa pili ikiwa na lengo wa kusaidia watoto waliopo katika maisha magumu.
  7. issenye

    TANZIA: Thomas Mollel maarufu 'Askofu' afariki dunia jijini Dodoma akihudhuria kuapishwa kwa Mbunge wa Arumeru Mashariki

    Mfanyabiashara maarufu wa madini nchini Tanzania, Thomas Mollel maarufu kwa jina la Askofu amefariki dunia jana usiku Jumatatu Mei 20, 2019 jijini Dodoma. Alikwenda Dodoma kushuhudia kuapishwa kwa mbunge mteule wa Arumeru Mashariki (CCM), Dk John Pallangyo. Mollel ambaye mwaka 1995 alipata...
  8. issenye

    ‘CUF Lipumba’ wakaidi agizo la Polisi, waendelea na mkutano

    Kwa ufupi Licha ya Polisi wilaya ya Ilala Kanda Maalum ya Dar es Salaam kutoa zuio la kufanyika kwa mkutano mkuu wa CUF upande wa Profesa Ibrahim Lipumba, mkutano huo unaendelea huku ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ukiubariki mkutano huo ---- Dar es Salaam. Licha ya Jeshi la Polisi kuzuia...
  9. issenye

    Dkt. Bashiru Ally amtaka Bernard Membe kujibu kuhusu kufanya vikao vya kutafuta kura 2020

    MADAI YA KUMKWAMISHA JPM: Katibu mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amemtaka aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernald Membe kufika ofisini kwake kukanusha madai yanayomkabili. Bashiru Ally ametema cheche hizi kwa waziri wa zamani wa Mambo ya Nje, Bernard Membe ambaye pia ni mwanachama wa CCM...
  10. issenye

    Waziri Kangi Lugola: Nikifa nizikwe na ilani ya CCM

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema akifa anatamani azikwe na Ilani ya uchaguzi wa CCM itakayokuwepo wakati huo. Lugola ametoa kauli hiyo leo Jumapili Julai 8, 2018 katika mahojiano maalum na MCL Digital baada ya kutembelea ofisi za kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL)...
  11. issenye

    RC Makonda: Ukimpa ujauzito mwanamke mkoa wa Dar es Salaam ujipange

    JOPO la Wataalamu kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Maofisa Ustawi wa Jamii, Wanasheria pamoja na askari Polisi kutoka Dawati la Jinsia wamemuhakikishia Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, kuwa wamejidhatiti vyema kuwasikiliza akinamama waliotelekezwa na hawapatiwi pesa ya...
  12. issenye

    Mgombea ubunge Siha afarijika kuona bendera ya CHADEMA

    Mgombea Ubunge wa jimbo la Siha kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Godwin Mollel amefarijika kuona bendera ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye mkutano wake wa Makiwalu wakati akifanya kampeni za kugombea Ubunge wa jimbo. "Niwaambie makamanda bado nina wapenda na...
  13. issenye

    Muendelezo wa kick Wizara ya maji

    Naibu waziri wa maji na umwagiliaji Jumaa Aweso akiwa amebeba ndoo ya maji pamoja na kina mama wa Kishapu Shinyanga.
  14. issenye

    Msanii Chid Benz akamatwa tena na dawa za kulevya

    Jeshi la polisi Mkoa wa Ilala, limewakamata watu saba akiwemo msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro maarufu kama ‘Chid Benz’ kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroine. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamduni amesema watuhumiwa hao walikamatwa Agosti 12 mwaka...
  15. issenye

    SATURDAY, JULY 1, 2017 WB yaingilia kati suala la mabinti wanaopata mimba shuleni

    By Kelvin Matandiko, Mwananchi kmatandiko@mwananchi.co.tz Dar es Salaam. Benki ya Dunia (WB) imesema kuna manufaa ya kijamii na kiuchumi ya kumuelimisha mtoto wa kike. Bella Bird, mkurugenzi Mkazi wa WB kwa nchi za Tanzania, Burundi, Malawi na Somalia, alisema mimba za utotoni si tu...
  16. issenye

    Miswada mitatu(3) ya kujadili masuala ya madini na maliasili yafikishwa Bungeni kwa hati ya dharura

    Miswada mitatu ya Sheria ya Serikali imesomwa Bungeni na imepelekwa kwenye Kamati za kudumu za Bunge ili ikafanyiwe kazi ipasavyo 1. Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa 2017, utafanyiwa kazi na Kamati ya Katiba na Sheria inayoongozwa na Mh. Mohammed Omary Luchengerwa 2. Kwa mujibu...
  17. issenye

    Hakuna celebrities wengine Tanzania zaidi ya hawa wawili

    NAJIULIZA KILA SIKU, HIVI MASTAA NI HAWA WAWILI TU, DIAMOND NA KIBA? KILA MTU AKIFUNGUA THREAD NI WAO HADI INACHOSHA. BADILIKENI
  18. issenye

    Kilimbe, Mabumba waula TCRA

    Rais John Pombe Magufuli amemteua Dk Jones A. Kilimbe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania na Slyvester Mabumba kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuanzia tarehe 17 Novemba, 2016
  19. issenye

    Orodha ya wadaiwa sugu HESLB yaibua mapya

    Kwa ufupi Pia, yapo majina ya watu ambao hawajawahi kuomba mkopo na wengine walisoma nje ya nchi. By Kalunde Jamal, Mwananchi kjamal@mwananchi.co.tz Dar es Salaam. Orodha ya wadaiwa sugu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), imedaiwa kuwataja wanufaika ambao baadhi walishamaliza kulipa...
  20. issenye

    Polisi wanaoshtakiwa kwa jaribio la kubaka wapata dhamana

    Polisi wanaoshtakiwa kwa jaribio la kubaka wapata dhamana kwa ufupi Washtakiwa hao, aliyekuwa Konstebo wa Polisi Petro Magana wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) na Konstebo Lucas Ng’weina wa Wilaya ya Kipolisi Mbalizi mkoani Mbeya wanakabiliwa na mashtaka ya kutaka kufanya mapenzi kwa nguvu na...
Back
Top Bottom