Hata kama jamaa ana makosa haifai kufanyiwa hivyo.
Kila jambo lina utaratibu wake.
Kama jamaa ana makosa ni vyema akamatwe na kupelekwa panapo stahili
Ndugu zetu au wenye vyeo wakiamua hivi je sisi wananchi wa kawaida itakuwaje
Nishauri jambo hili likemiwe na wahusika waajibishwe kwa kujibu...
Sababu ni hizi
1.Rejea wa wakati wa kutafuta uhuru Wazee wa dar walitumika pia.
2.Mkoa wa darasani ina Wazee wa mikoa yote kuliko mkoa mwingine Tanzania.
3.Wazee wa dar wanawakilisha Wazee wa mikoa mingine( Dar ni sampuli ).
Naomba kuwasilisha
Mkuu nami nina wazo kama ilo nmejena banda kubwa tu.....Nipo njia panda nifuge kwa vifaranga au ninunue kuku wakubwa?. ww kwa matazamo wako ni lipi jema.
Huyu kijana ni muislam au ana jina la kiislamu. kwa mtazamo wangu inawekezana ukafurahia jambo ambalo mwisho wake unapata hasara au dhambi.
Katika muislam bill gate au binti yake bill gate wana umuhimu gani hadi ushangae hivyo?......
Vijana wa CCM .wanatoboa sana Mkuu.Kwa sababu wao sio wapiga madili.Karibu kambini.Kijana wa CCM akianzisha biashara na akatumia ilani ya Uchaguzi ya chama mapema kabisa anatoboa.
Kuna tofauti kubwa kati ya elimu ya mtu na akili yake..Kuna watu wanaelim lakin akili ya kupambanua mambo hawana kabisa.....Elimu unaipata kupitia darasani.Lakini akili na kupambanua mambo hutoka moja kwa moja kwa Mungu.elimu inaweza kupanua uwezo kupambanua mambo lakini inakuwa haina nguvu kama...
Mawazo yako yanafaana na yangu.Gharama za elimu tunazipandisha sisi wenyewe haswa wa Afrika.Pia chakunzigatia kingine gharama kubwa ukifa mzazi ndugu wataendelea kumsomesha kijana au mtoto wako.Mwisho watamsemanga tu.baba yako alikuwa na pesa sisi hatuna pesa ukasome kayumba.Utawaacha watoto...
Umeeleza vizuri mkuu. Lakini kitendo wanachofanya ni cha ajabu sana.Kwa nini wasiwke pamoja tu iwe kodi moja ambayo inaleta maana.Je lini EWURA NA REA zitajisimamia zenyewe kama tasisi..Miaka nenda miaka rudi tutazichangia tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.