Unipanic, usitumie akili kufuga nywele tu. Et mtu udese barua, hv una akili kweli wewe!? Hv ww kwa akili yako hujui kuwa haa barua ya aina yyte, format zake ulifundishwa darasan, je huwa unaandika kama ulivofundshwa darasan? Ama huwa unatumia format ya darasan alafu unaandika kwa maneno yako...
Bila shaka aliambiwa ulikuwa na TILL yako ya TIGO pesa, ulikuwa ukiitumia kuhudumia wateja kwa kutumia mtaji wake ili uje upate commision ww, TILL yake ikabaki tu haifanyi kazi na hvo asingepata kitu.
Nadhan iko hvo, kama sio hvo tupatie sababu za yeye kukuondoa wakati hakukuwa na loss
Tubu dhambi zako na umrudie Mungu leo nae atakusamehe, soma Luka 23 : 54 - 56, Pia soma luka 24:1-10 utaona siku ambayo yesu alisurubiwa, ambayo wa dini nyingine huiita ijumaa kuu, ilikuwa ni siku ya ijumaa, na kwetu wasabato tunaiita siku ya maandalio kama ambavyo maandiko yanasema katika...
Pumziko liko moja tu, nalo ni siku ya saba, ambayo ni Jumamosi, ukiangalia historia ya uumbaji, MUNGU alimaliza uumbaji wake siku ya sita na akapumzka siku ya saba ambayo n jumamosi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.