Naomba Jeshi la Polisi hasa mitaani mje kusaidia maana vibaka wamerudi kwa wingi sana. Hii sio siasa ni reality kabisa na siandiki kwa mihemuko!
Kuna kipindi tulianza kulala milango wazi lakini kwa sasa wanakata mpaka madirisha
Tumehitimisha Safari ya Mpendwa Kiongozi wetu Brigedia Jenerali Dr.Yohana Balele aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga- aliyezikwa Makaburi ya Nyumbani Kwao Bariadi,Kwa Kutambua Mchango wake katika elimu ndani ya wilaya ya Bariadi enzi akiwa Mkuu Wa Mkoa-Uongozi wa Mkoa wa Simiyu Tumeipa Jina -...
R I P Dr Balele Mungu ametwaa jembe la uhakika.
Amefariki jana mida ya saa 7.
Msiba upo nyumbani kwake, Kunduchi jijini Dar.
------
Brigadia Jenerali Yohana Balele aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga akitokea kuwa Mkuu wa Hospitali ya Kijeshi ya Lugalo.
Alikuwa Daktari Bingwa wa...
CAG: Neno 'dhaifu' naendelea kusisitiza ni lugha ya kawaida katika ukaguzi wetu. Na tutaendelea kulitumia.
#CAGBUNGENI
#DARMPYABLOGUPDATES
Sasa Kamati ya Bunge inaonaje swala la kuwasimamisha Mh Lema na Mh Mdee kwa neno halali na linaloendelea kutumiwa na CAG?
Kila mtu akifunga iki kifaaa itakuwa mwisho wa Wasiojulikana na pia mwisho wa watoto kuuliwa kwa iman za kishirikina.
Pia itakuwa salama kwa wanaharakati kupotea na kutekwa kwa watu na kupotezwa au kufa kabisa au kucheleweshwa kurudishwa.
Kuna kampuni knakamilisha utaratibi wa kuanza kazi.
Kwa mtazamo wangu kuna mambo yametengenezwa kama kawaida ili kupoza walaka wa Lissu siamimi kama kuna Dhahabu kilo 300 jinsi nijuavyo dhahabu pia Mh spika sizan kama hajui sheria au katiba ya Bunge !
Mwenye maon au mtazamo zaid
Inasikitisha sana Mjini Nyarugusu Geita hakuna Umeme siku 5 mji mzima na hakuna hatua zozote au juhudi za Umeme kuwaka.
Update; 12/12/2018
Tanesco Geita hakuna umeme Nyarugusu yote kwa mda wa siku 9 na ni mji wa kibiashara,Ni hasara kwa wafanyabiashara,Wenye kaya zao pamoja na Usalama wa Raia...
Ninaamini nitakuwa Rais bora kwa uwezo wake Mola. Nitauona upinzani kama chachu ya Maendeleo badala ya kuwa na hofu nao. Nitarejesha taswira chanya ya nchi yetu mbele ya jamii ya kimataifa kwa kulinda Demokrasia na haki za binaadam. Mtachapa kazi, Lakini pia mtakula bata 🤣
By Zitto K
By Zitto
Ninaamini nitakuwa Rais bora kwa uwezo wake Mola. Nitauona upinzani kama chachu ya Maendeleo badala ya kuwa na hofu nao. Nitarejesha taswira chanya ya nchi yetu mbele ya jamii ya kimataifa kwa kulinda Demokrasia na haki za binaadam. Mtachapa kazi, Lakini pia mtakula bata 🤣
Nimeamua kushabikia Liverpool kwa Mapenzi yangu na akili yangu timamu kwa sababu nikiwa Man U siweza kuangalia Mechi za Liver live.Liverpool wanacjeza vzr hawajafungwa
Ni mda sasa sijamsikia Mkurugenzi wa Clouds Media Ruge na sasa ni msimu wa Fiesta,si kawaida msimu wa Fiesta kuanza bila kusikia neno toka kwa uyu jamaa.Kwa anaejua au fununu atujuze
Kwa yeyote anayejua jinsi ya kuuza marudio ya mchanga wa dhahabu naomba msaada jinsi ya uhuzaji wake,nina Tonne zaid ya kumi(10) sample inaonyesha majibu ya Gold 3.3-4ppm, Copper 330,No sulpher,
Kama kuna mtu anaelewa jinsi ya kuuza marudio yanayosoma ivyo naomba msaada
Nahisi 2pac is back, Sasa hii ndo pure hip hop na wakati inahitajika kama ukiipinga lazima ukapimwe akili,Sio Roma wa kibamia ama Dem uyu au dem uyu.
Hii ni HIP HOP YA MWAKA
Toka nimejua kutenganisha;kusikiliza,kuelewa,kusoma na kuandika pamoja na Iman yangu naamini Hakuna Mtu Dunian anaweza kushindana ba Serikali yake kwa vyovyote vile. Pia Serikali haiwezi kushindana na Wananchi wake kwa umoja wa Wananchi(watu wake).
Nachotaka kusema Bila Serikal Imala hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.