Kikubwa cha kuzingatia...
Kama dem akikukataa hakuna sababu ya kuwa Marafiki.... Futa namba achana naye.. Hakuna Urafiki, atakuwa anakutumia kwa Manufaa yake... Piga chini.
KIKAO CHA WANAUME.
Kikao cha wanaume kimeisha salama jana..
Kwa wale ambao hamkuweza kuhudhuria, kamati ya pesa na mahitaji tulitoa mapendekezo mapya..
Marejeo ya sheria ya kutohonga, kifungu cha 12, kilichokuwa kikisema hairuhusiwi kumpa hela mwanamke ambaye hujamuoa wala hujazaa nae...
Kwanini Serikali ya Mama Samia imeongezea Makutupora to Isaka, Isaka to Mwanza na Tabora to Kigoma wakati hakuna hela.
Kwanini tusimalize kwanza walau Dar to Dodoma.
Habari za leo wana jukwaa,
Kahama ni kati ya wilaya zenye mapato makubwa sana Tanzania. Kahama ni Manispaa ambayo haina barabara za mitaa za lami.
Tunaomba tuwekewe lami Barabara ya Nyakato kuunganisha asilimia mia na Barabara ya Mamaa Farida.
Kuna wakati naona Serikali wanawekeza Fedha kutengeneza mifumo ambayo ni Useless.
Mf. Mfumo wa eMrejesho... Nimetuma Mrejesho wangu una zaidia ya Miezi 2 haujapitiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.