Mwalimu mwenye sifa ya ualimu wa shule ya msingi yaani Grade A anaweza kuendelea na diploma ya ualimu na ni chuo gani kina uwezo wa kutoa diploma kwa mwalimu aliye kazini anayetaka kujiendeleza hiyo huduma ilikuwepo mwanzoni ikiwa inaitwa diploma in education for special program lakini kwasasa...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mimi ni muhanga wa hili tatizo kwa muda mrefu sana nimetumia dawa ya allerg kama cetirizine imeshindikana mwenye ufahamu ya namna ya kuweza kupona anisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.