Wafanyakazi sijui vyama vyenu huwa vinawasaidia nini.....!!?
Kama mazezeta vile.....!!
Haviwezi kuwahamasisha hata;
1) Migomo
2) Maandamano
3) Basi vitetee maslahi yenu...
Vyenyewe vipo kwa ajiri ya kuwakandamiza tu miaka inaenda vilio ni vile vile....
Ivi huwa mna matatizo gani...!!?
Kama ni...
Mi' bnafc nishaachana na mambo ya watu napambana kivyangu vyangu, maana sioni haja ya kuja kung'olewa kucha, kufungwa na hata kutekwa kwa ajiri ya mbumbumbu...
Over...
Waziri wa madini 🤔 kwanza hajawahi kutuambia lile jiwe letu liliopatikana huko ughaibuni likiwa ktk maonyesho na likaonekana kuwa na thamani kubwa lilifikaje huko na je taifa kama taifa tuli-gain kiasi gani....🙄
Roho baya + Uchawi + CCM = Umasikini.
Waziri wa madini 🤔 kwanza hajawahi kutuambia lile jiwe letu liliopatikana huko ughaibuni likiwa ktk maonyesho na likaonekana kuwa na thamani kubwa lilifikaje huko na je taifa kama taifa tuli-gain kiasi gani....🙄🤔🤔
Watanzania sisi wenyewe ni tatizo, maana wanasiasa wanatuongelea sana ila sie tunawavunja nguvu....
Mfano ni mara ngapi tunaambiwa tuingie Barabarani kupinga Rushwa, kuteka na kupoteza watu, matumizi mabovu ya rasilimali ( keki ya taifa ) na gharama za maisha kupanda kihorela, wakifikia hapo...
Kauli kama hizi ni za kutukejeri sie wananchi, maana serikali inayoongoza ni ya Chama chake iweje leo ajitoe ufahamu kiasi hicho kana kwamba katoka Somalia leo....🤔🤔
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.