Tusifungwe na ufinyu wa kufikiri binadamu hana sehemu nyingine ya kuishi akiwa hai zaidi ya hapa alipo na pia kuna mambo huwa yanafanywa na ss wenyewe yenye kuhatarisha uwepo wetu hii iko wazi.
Je mi nami alikuambia kuwa wazungu waliwadanganya walibya.?
Na je unamuongelea Gaddafi ambaye alikuwa...
Mm binafsi namkubali sana Lisau c kwa sababu ya itikadi yake bali ni vile alivyojijengea heshima ya kuwa mbunge mwenye kuelewa jukumu lake .
Hao wenye kuhitaji akili ndogo zaidi ya tumbo ni vema kuwaambia kuwa kama ripoti imelenga kuokoa taifa hili na c vinginevyo haitomkomoa mtu aliyetumia...
Mimi nauona ufupi wa maono wa mh waziri akasikilize vizuri nyimbo za lucky dube, papa wemba, Bob Marley na mwisho arudi kwenye movie nyingi za kiharakati baadae amuulize yule mmarekani alieweka wazi my president is black.
Baadae amuonye huruma Mrisho Mpoto ataimba nn?
Wenye kusimamima hoja na balance za kisiasa ndio watunga sheria na wasimamia katiba ndio wattage maamuzi na wapindisha sheria hatujakosea tuko tunapostahili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.