Search results

  1. Sang'udi

    Je, viongozi wetu wa sasa wana uwezo wa kutuunganisha?

    Tunapokuwa na viongozi imara kama taifa tunakuwa na uwezekano mkubwa wa kuendelea. Moja ya kiashiria cha uongozi bora ni uwezo wa kutuunganisha tunapotofautiana. Je, viongozi wetu wa kitaifa (hasa wanaoshikilia nyadhifa za juu kabisa) wana sifa hii adhimu na muhimu? Tuwe na sherehe njema ya...
  2. Sang'udi

    Hayati Magufuli: Ningeweza kusema ninawaongeza mshahara halafu nikaongeza elfu tano tano

    Shujaa wa Afrika hakutaka kabisa kuigiza kwenye masuala yawahusuyo Watanzania. Nimekuwekea clip hapa chini.
  3. Sang'udi

    Mashambulizi dhidi ya Magufuli: Michezo au upepo wa kisiasa?

    Ninajiuliza: • Ni kwamba mama ameona hajafanya chochote ndani ya mwaka wake mmoja as compared na mwaka mmoja wa Magufuli; hivyo akaamua ku-divert attention ya watu kutoka kujadili upungufu wake hadi kumtetea na kumshambulia Magufuli? • Ni wazi hakuna Waziri ambaye hapendwi tangu tupate uhuru...
  4. Sang'udi

    Saikolojia: Hatua tano za kuukubali ukweli/uhalisia

    Ulishawahi kuwa kwenye uhusiano na mtu ambaye mnapendana kwa dhati? Mmeweka mipango ya pamoja na mnapambana kuitimiza. Labda mmeshatambulishana hadi kwa jamii inayowazunguka - ndugu, jamaa na marafiki. Ukiangalia mipango na maisha yako ya baadaye yote imejawa na huyo mtu. Unamuamini kupita...
  5. Sang'udi

    Upotoshaji: Magufuli alidai kuyamaliza kabisa maovu yote Tanzania

    Siku za karibuni kumeibuka upotoshaji wa makusudi, tena uliopangiliwa vizuri wa kuwa Magufuli alidai amemaliza rushwa, wizi na ufisadi nchini. Hebu tutendeni haki, Magufuli hakuwahi kumaliza rushwa, wizi na ufisadi. Ila katika uongozi wake wa serikali na chama tulishuhudia juhudi za dhati za...
  6. Sang'udi

    Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

    • Legacy waliyopambana nayo kuifuta ndio kwanza inazidi kujidhihirisha. Hata mabeberu sasa wanaiga falsafa za Magufuli, angalia kwa mfano suala la Covid-19. • Watanzania wengi wazalendo na wanyonge wanazidi kuumia na hivyo wanammisi kwa kasi. • Kanisa Katoliki linaendelea kumuombea pumziko la...
  7. Sang'udi

    Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

    Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi mema katika adhimisho la Misa Takatifu ya kumuombea pumziko la milele mbinguni Hayati John Pombe Joseph Magufuli. Misa hii takatifu itafanyika Jumapili ya Machi 20 katika...
  8. Sang'udi

    Ushoga: Kanisa Katoliki lakataa kuubariki

    Katika hatua ambayo itawahuzunisha wengi wanaopinga Kanisa Katoliki, wasiolipenda na wanaoliombea mabaya; Mama Kanisa amekataa kutoa baraka kwa miunganiko ya jinsia moja (ushoga) kwa sababu ushoga ni dhambi na Mungu hawezi kubariki dhambi. === The Catholic Church does not have the power to...
  9. Sang'udi

    Matatizo: Je, ni uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu?

    Habari za wakati huu! Katika maisha, kumekuwa na nyakati ambapo tunawaza na kuwa na wasiwasi juu ya uwepo wa Mungu. Uwepo wa matatizo mbalimbali kama matatizo ya kiuchumi, matatizo ya kiafya, matatizo ya kijamii, matatizo ya kisiasa, n.k. umechangia kwa kiasi kikubwa hali hii. Ukweli mchungu...
  10. Sang'udi

    Fr. Titus Amigu: Vifo wakikanyaga mafuta ya upako, ya Musa bado ya Firauni

    Kibwagizo cha mwezi Nasikitika sana, tena sana, kwa msiba mkubwa uliotokea Moshi, Kilimanjaro, kwa Wakristo waliokuwa wakigombea kukanyaga “mafuta ya upako”. Roho za marehemu ndugu zetu zipumzike kwa amani. Amina. Lakini pamoja na simanzi hii kubwa, ni fursa ya kukumbushana tena jambo. Mungu...
  11. Sang'udi

    Wapinzani kususia chaguzi; Historia itamkumbukaje Rais Magufuli kama mwoga au shujaa?

    Kutokana na kinachoendelea katika nchi yetu tuipendayo, ninajaribu kuwaza historia itamkumbukaje Mheshimiwa Rais Magufuli, je, itamkumbuka kama; • Mwoga aliyetumia ipasavyo madaraka ya kikatiba aliyonayo katika kuudhibiti upinzani kushiriki ipasavyo katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa na...
  12. Sang'udi

    Utoaji wa Mimba; Uuaji wa kikatili usiokemewa na kupingwa kama inavyostahili

    Habari zenu wakuu, Ni matumaini yangu mpo fresh kabisa, mnaendelea na majukumu ya Ujenzi wa Taifa letu Tanzania na Taifa la Mungu, kwa wale wenye imani hiyo. Kuna tabia ya wanandoa na wasio wanandoa kutoa mimba wakidhani kuwa ni kitendo cha kawaida kabisa. Simi hizi jambo hili limechangiwa kwa...
  13. Sang'udi

    Marekani, Korea Kaskazini watupiana lawama baada ya kushindwa kufikia mwafaka.

    Serikali ya Marekani imeilaumu ile ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea (Korea Kaskazini) kwa kushindwa kufikia mwafaka wa kuondoa Uzalishaji wa Makombora ya Kinyuklia katika Rasi ya Korea (Denuclearization of the Korean Peninsula). Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya...
  14. Sang'udi

    Je, umejipanga kutumiaje Noah baada ya ACACIA (Kupitia BARRICK) kutulipa Trillion zetu?

    Nadhani mada inaeleweka. Mazungumzo yanaendelea kwa wiki kadhaa sasa, tangu yaanze. Nadhani ni busara kuweka mipango juu ya vitu vitarajiavyo. Ni matumaini ya Watanzania wengi (kama tulivyoaminishwa na viongozi wetu wakuu) kupewa Noah mara baada ya haya Mazungumzo, maana kwa nondo (data)...
  15. Sang'udi

    Tabora Boys Alumni

    Waboizia wote tukutane hapa tushirikishane vitu, matukio mbali mbali, changamoto za maisha n.k. Karibuni sana.
Back
Top Bottom