Kumekuwa na uzushi wa muda mrefu sasa kama week mbili kwenye mitandao na vijiwen hapa Arusha kuwa mkuu wetu wa mkoa anahanishwa
Magesa alipokuja Arusha halmashaur karibia zote zilikuwa zimeoza mfano Arusha manispaa ilukuwa imejaa wezi akawasambaratisha Monduli pesa zaidi ya milioni mia tatu...
Lady: what is the price of this dress?
Salesman: 5 kisses
Lady: what is the price of that dress?
Salesman: 10 kisses
Lady: OK pack both of them & bill will be paid by my Grandmother
Habari zenu.
Hivi usiku wa siku ya kwanza ya fungate wanaharusi wanaweza kufanya tendo la ndoa kutokana na jinsi wanavyokuwa wamechoka kutokana na pilika pilika za harusi?
Wazazi wanapotengena watoto huwa wanateseka sana, ni bora wazazi watafute suluhisho la tatizo lao kwa kukaa chini na kuongea. Kama wazazi walipendana mpaka wakaamua kuishi pamoja na kuzaa watoto, kwann washindwe kukaa na kulitatua tatzo lao?
Asante kwa ushauri lakini nimejaribu kumuomba msamaha lakini ananiambia kuwa nimemfanyia hilo kosa makusudi ili nimuombe msamaha coz najua tu kuwa atanisamehe.
Padri na shekhe walikutana kwenye ndege, Padri akamkaribisha shekhe kitimoto,shekhe akasema si hatulagi, padri akasema mnakosa uhondo.
Wakati wa kushuka shekhe akamwambia padri msalimie mke wako,padri akajibu sisi hatuoi, shekhe akasema mnakosa uhondo. Je kati ya shekhe na padri nani anakosa...
Mmmmmmmh, naona alibana budget kwenye nguo ya kuvaa kwa stage that's y akavaa top peke yake. Lakn ameumbuka coz ki2mbua kiko wazi na kimepigwa na vumbi na labda kimeshaingia mchanga.
Mama mkwe: Binti samahani lakini,kusema kweli Huyu mtoto hafanani na kijana wangu kabisa.
Binti:Mama bila samahani, huku chini nina njia ya uzazi na sio mashine ya photocopy. :gossip:
Askofu aliendesha harambee kuchangia ujenzi wa kanisa. Wakristo wakatoa Tshs 750,500 tu. Ghafla majambazi wakateka kanisa na kuamrisha kila mtu atoe alichonacho! Wakakusanya Tshs8,945,800 na kumkabidhi askofu ili aendeleze ujenzi. Je majambazi wana dhambi au wakristo wanathawabu? Toa maoni yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.