Mlimao wangu ulipata Shida na majani kuanza kuwa meusi. Nilichukua Jani na kupeleka Kwa wataalam wanauza dawa za mimea wanajiita Mangito. Kufika palale kuwaonyesha na wakanipa dawa ya ukungu nikapulize. ILa kilichofuata baada ya kupuliza Ile dawa ni kuwa ilikuwa kama imewaboost na weusi kuzidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.