Habari wakuu
Mpangilio sahihi wa mawasiliano ya umeme ni hatua muhimu zaidi katika nyumba yako.
Ni kwamba haiwezekani kuanza ufungaji wa wiring bila mpangilio na hatua sahihi,
Hatua na mpangilio sahihi wa wiring sio tu kwa majengo mapya hata ambayo sio mpya.
kusudi kuu la wiring...
Nafanya wiring kwa gharama za bei nafuu sawa na Bure (150,000)kwa ramani ya nyumba hii kwa ubora na usalama wa nyumba yako pia nakupitishia form ya maombi tanesco bila wewe kwenda ofisini kwaoWaweza nitumia ramani ya nyumba nikakufanyia tasmini ya gharama za wiring
Napatikana dar es salaam...
Habari zenu wakuu mimi ni fundi umeme natafuta kazi, kama Kuna fundi ambaye naweza fanya nae kazi naomba niwe nae, au kama Kuna mtu anaweza kuniunganisha kiwandani au kwenye sekta yeyote Tanzania bara au kisiwa popote pale nipo teyari
Contact 0712046672
habari ndugu zangu
chukua dakika chache kumshukuru Mungu kwa wema na Fadhila zake juu yetu.katika maisha ya mwanadamu kuna vipindi fulani ambavyo kama wanadamu tunapitia, kuna vipindi vingine vinakuwa vigumu sana kiasi ambacho tunatamani hata kujiondoa hapa duniania hii haimaanishi kuwa Mungu...
Kwa mara nyingine tena kijana wenu nakuja kwenye jukwaa hili kuomba nafasi yoyote ya kazi ambayo itakuwa halali.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 27, Elimu yangu nina certificate of electrical and automation umeme wa majumbani Na viwandani. Nimekuja hapa kwa mara nyingine kuomba kwa yoyote...
Habari zenu wakuu,
Najua hapa ndani hapawezi kukosa wamiliki, maengineer wa makampuni,viwanda, na mashirika mbali mbali mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 26 naishi Dar es Salaam.
Naombeni kazi ya ufundi umeme Elimu nina level three ya electrical.
Habari wakuu msaada una hitajika.
Tafadharini Kwa mwandiko mbaya.
Niliomba kazi Kwa kutumia njia ya mtandao utumishi Secretariate ya Ajira nikabahatika kuona jina langu nimeitwa kwenye interview
Ila katika akanti yangu sijatumiwa namba ya interview. Tatizo nini?
Je, naweza pata namba...
Habari wakuu.
Kichwa cha habari cha husika sana Wakuu mwenye hearing aids (Mashine ya usikivu) naombeni mnisaidie.
Nimeshindwa kununua kutokana Na gharama wakuu mwenye kunisaidie tafadhari naomba msaada wenu mimi nipo Dar es salaam.
Kwa mawasiliano tuma ujumbe mfupi/message tu
0629683767
Ndugu yangu, nakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
Habari natumaini wazima.
Wakuu Hali ya maisha ni ngumu mno hali bado tete kila siku bora jana kuliko leo huku janga la #COVID19
kupata mlo mmoja bado ni tabu sana Kupata kibarua/kazi halali bado ni shida sana...
Nimefarijika sana my friend MAYALA you know Jiwe Jr what is Deaf Milionaire
Muweke Kiduku pembeni mm ni tajiri wa amani na weza lala mlango wa geto, dirisha zipo wazi.
Bado kuna tumaini hata giza liwe tororo kiasi gani! Tuna pita nyakati ngumu mno za maisha .
upaswi kukata tamaa wiki ijayo muda...
Binadamu tuna hukumu kwa hisia all the herodeaf go to heaven My Braza mpauko kwanini ukisubiri kuonana na mimi why ?!upo wapi !!Braza nahisi mm ndio mwenye hatia naimani kwa asilimia 100 maisha yako hayana tofauti na mimi , matatizo yako ni kama mimi Jiwe Jr katika member ambao nilikuwa...
Habari,
Natumaini ni wazima naomba nisiwachoshe sana kichwa cha habari hapo juu chahusika. Sana nimegundua kuwa namba yangu ya (NIN) kitambulisho cha taifa imesajili namba ambazo sio zangu . kisheria ni kipi cha kufanya kwa wakala huyu.
Pamoja na mtumiaji wa namba ambayo sio yangu
Ukienda...
Habari za humu ndani wote ni wazima,
Kwa mara nyingine tena kijana wenu nakuja kwenye jukwaa hili kuomba nafasi yoyote ya kazi ambayo itakuwa halali.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 27, Elimu yangu nina certificate of electrical and automation. Nimekuja hapa kwa mara nyingine kuomba kwa...
Aston Villa ya Samatta yapanda nafasi ya 16 katika Ligi Kuu ya Uingereza na kujiweka sehemu salama kwa kuichapa Watford bao 2 kwa 1.
Mpaka sasa Aston Villa imecheza michezo 24 ya ligi na kupata point 25, imepitwa point 5 tu na Arsenal ambao wanashika nafasi ya 10 kwa kupata point 30 kwa michezo...
Natamani niende ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam au Rais wa wanyonge
Life is not fair accept it,be happy,smile nimefukuzwa kazi sababu tu ni disability (deaf hatua ya tatu ) tena kwenye ofisi ya serikali( serikali hii ya wanyonge) na kikubwa zaidi kazi nilikua nafanya kwa asilimia mia...
Pendezesha nyumna yako kwa taa za urembo Chaguo bora la taa na rafiki kwa mazingira Taa za dari za LED downlight ni mustakabali wa taa za nyumbani. Ni salama, bora nauokoa bili la umeme kwa mahitaji ya kufungiwa taa za LED downlight wasiliana na Mimi pia nafunga vifaa vyote vya umeme...
Habari zenu wakuu,
Najua hapa ndani hapawezi kukosa wamiliki ,maengineer wa makampuni,viwanda, na mashirika mbali mbali mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 26 naishi dar es salaam
Naombeni kazi ya kujitolea tu bila malipo yoyote nitafanya kazi bure, sihitaji posho ya aina yeyote kama usafiri...
Umri wangu ni miaka 26 Nina level three ya electrical and automation natafuta kazi ya ufundi umeme wa majumbani au maofisini,,viwandani nk niko Dar es salaam ilala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.