Habari za muda huu!
Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama. Nimeamka umeme hamna niko likizo nikasema nijilaze sasa kero ni Ndege aise wanagonga madirisha ya chumbani kwnagu mpaka naonea vioo huruma. Kwa ambaye anapitia hii changamoto huwa unafanyeje? Eneo nililoko ni Rombo km...
Hakuna jibu moja la uhakika kwa swali hili, kwani nia ya Mungu au nguvu yoyote ya juu kuumba binadamu wenye uwezo wa kutembea kwa miguu miwili ni suala la imani ya kibinafsi. Hata hivyo, kuna nadharia kadhaa zinazojaribu kuelezea sababu ya mabadiliko haya ya kipekee katika mageuzi ya binadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.