Yahya Msangi
Lome, Togo
Toleo la 294
15 May 2013
HAPO kitambo kidogo niliandika makala katika gazeti la Raia Mwema nikiomba waumini wote wa kiislamu na kikristo wachinje imani zao ili Taifa libakie salama. Naona makala ile haikueleweka kwani baada ya tukio la hivi karibuni la kulipuliwa...
Mm nimesikitishwa sana na maamuz ya wabunge wa chama cha kifisadi inaonesha huyu mwanamke hawezi uspika na anafanana na mhusika ndani ya kitabu cha tamthilia 'Kivuli Kinaishi' Bi Kirembwe anayewalazimisha wananchi wake kusema nyeusi kuwa nyeupe.
Pia Giningi ndani ya tamthilia hii ndo ccm ;make...
Kuna watu wanaongea tu bila kujua kwanini UISLAM unampinga Babu wa loliondo,kwanza napenda kuwaambia ndugu zetu ktk Adam waislam wanamkubali Yesu kama mtume/nabii,hakuuwawa na ndo maana yupo hai;Na mtume Mohammad s.a.w ni mtume na nabii wa mwisho so wanapomuona mtu anaamka na kusema yeye ni...
Kuna watu wanaropoka tu bila kujua UISLAM unasemaje kuhusu unabii/utume.Waislam humkubali YESU ,yupo hai na hakuuwawa;Lakini mtume na nabii wa mwisho ni MOHAMMAD s.a.w so kama kuna mtu anaamka na kusema yeye ni nabii kama asemavyo Babu thatz Y waislam wanazuiwa.Hata huyo mnayemsema shekh yahya...
Hio ni siasa pure make law inasema zibomolewe labda kama mswada utapelekwa bungeni,na haya mambo ndo yanaiponza ccm kwa kutofata sheria.Na wameshindwa kuwaelimisha rai kuhusu sheria mbalimbali kama afanyavyo dr MAGUFULI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.