Mungu kaumba binadamu kwa mfano wake,ni mengi binadamu tunatenda lakini ni kwa mapenzi yake,ujuzi wa wanasayansi,madaktari na wahandisi ni Mungu karuhusu
uwepo wao watende kwa niaba yake
Through his preaches to corrinthians also the Apostle Paul meant that when you become a man you learnt to distinguish childish and man's responsibilities
Kupitia Biblia-Takatifu 1Wafalme18:25 Mungu anadhihirisha kwamba ndiye ALFA &OMEGA kupitia Nabii Eliya pale sadaka yake inajibiwa tofauti na Mungu wa bahari, Ulimwengu kwa Mungu ni sehemu ndogo tofauti na tujikwezavyo!!!
Kiama kwa wanadamu ni mipango ya Mungu,tangu UUMBAJI hadi GHARIKA kipindi cha NUHU hadi nyakati tulizopo ni wazi kwamba mwisho wa dunia(Kiama) ni mauti kwa kila binadamu.Pamoja na kuruhusu binadamu kutawala vitu ama viumbe wengine lakini Mungu alituficha KIFO kitufikapo,yawezekana ni maksudi...
Wakati ni sasa baada ya mateso na kukandamizwa na utawala wa ccm watz tuna nafasi mikononi(kura) kufanya maamuzi tarehe 28/10/2020 kwa kuchagua viongozi makini wenye hofu ya Mungu wasiolewa madaraka
Binadamu tumeumbwa na Mungu na kupewa nafasi ya kuishi duniani kwa mapenzi yake,Kuna wakati binadamu hulewa sifa kwa kudhani anaweza mambo yote kwa utashi wao binafsi kwa kutenda maovu kwa wengine.Nafasi ama uwezo wa ki-mamlaka au kiuchumi si turufu ya kuingilia Uhuru wa wengine na kusahau Mungu...
Is there life after death? This question asked in the book known #ICRIDIBLE_OF_THE_WORLD_THAT_POTENTIAL,through common thought it EASY to answer that question,but in-deep mind tough to got solutions.So that can we APRICIATE only GOD knows everything about us i.e (OUR LIFE&DEATH)?let God known as...
"At the midst of joy do not make a promise to any one,at the midst of anger do not answer any one's latter"-Lao Zhu,nukuu ya nguli wa fasihi toka China alizama kifikra katika uhalisia, ustaarabu wa binadamu,namna ambayo si kwa uwezo wa kibinadam pekee bila kumtanguliza MUngu
Sent using Jamii...
Ukifikiri kiundani zaidi ili kujua asili ya binadamu Ni nini au Ni wapi?kwa mtu makini lazima utaingiwa na HOFU mioyoni,ili kurudi utimamu wa kawaida Ni wazi ukumbuke MUNGU yupo kwa Imani yako!Kuna matendo ya kudhihilisha uwezo wa Mungu na kwamba yupo na ndiye muumba wa WANADAM na VIUMBE hai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.