ELIMU BURE:huchangii chochote kwenye utoaji WA Huduma ya elimu ,mfano kutolipa kodi ambayo inapelekea Serikali kupata pesa ya kugharamia elimu.
ELIMU BILA MALIPO:serikali inagharimia elimu kutoka chekechea hadi kidato cha 4 kupitia kodi ulizokatwa na Serikali.....
Otherwise elimu bure = elimu...
Unaweza ukanisahihisha,this is what I know about Kenya constitution;"women representatives are for every county(47) but r elected in all constituencies, i mean voted in all constituency, but represent the whole county just like governor or senator"County tunaweza kuifanananisha na Mkoa(region)...
Hili linaweza kuwa baya kuliko yote,nimeangaika kutafuta kama kuna nchi duniani yenye mfumo kama huu nimekosa.Huenda Tanzania ikaweka historia kwa jambo la kipuuzi kama hilo.Mpaka hapa tulipo tunatakiwa kupunguza kwani ni gharama sana kuwalipa,unaweza ukaangalia uwiano wa wanawake bungeni...
Ni vizuri Lwakatare amekamatwa ili Watanzania waweze kufahamu ukweli hili.
Huenda serikali na CCM wakaishia kuaibika mwishoni na kuendelea kuijengea CHADEMA/Lwakatare umaarufu kwa wananchi.
Kabla ya mgogoro
Kwa miaka yote tangu kuingia kwa dini za kiislamu na kikikristo nchini,ni waumini wa dini waislamu ndio wamekuwa wakichinja mifugo(isipokuwa nguruwe) kwa ajili kuuzwa kwenye maduka yetu hapa nchini.Wananchi wamejijengea utaratibu huu kwa kuzingatia kuwa waumini wa kiislamu...
Ni bora kuwa na serikali ya kidikteta inayojali elimu ya wananchi wake kuliko kuwa na serikali inayodai ni sikivu lakini haijali elimu ya wananchi.This is very low for you CCM.
ukisikia muislamu anazungumzia ukikristo,ujue anawalenga zaidi wakatoliki(wana nguvu duniani,kalenda(Gregorian calender) inayotumia na karibu dunia yote ni ya wakatoliki ).Ndiyo maana hili Vatican linawaudhi sana waislamu(ingawa hawako sahihi,kwani Vatican ni nchi kamili kama zilivyo nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.