Bado tu una mawazo mgando,anayetetea ukabila nani,wewe ndio unawaza ukabila ukaianzisha hoja na haikusaidii kwa lolote!!!mambo mengine ni asili huwezi kupinga,jiangalie kwanza wanaokuzunguka wewe sio kumuangalia mbowe!!!usitake ku pritendi hap jf!!!nadhani hata hao unaowasemea huwajui vema na...
Acha mawazo mgando!!!!mara nyingi kwetu huku bodyguard (wa karibu) anatakiwa awe mtu unayemuamini na kuamini huko kutaanzia na mtu unayemfahamu hasa ndugu au wa nyumbani kwako ili akulinde kwa uzalendo!!!huhitaji elimu kubwa ya darasa la pili kujua hilo!!!wewe ulitaka alindwe na nani?ili uridhike
Wengine msilete post za ajabu,huyo mama kadhalilishwa na nani??msitake kuleta ligi zisizo na msingi haihitaji hata kufika darasa la nne kujua kuwa yeye kaamua kufanya hivyo kwa akili zake timamu!!!unamsemea kama nani??anatambua kuna magazeti ya udaku,mitandao nk hivyo kama unataka kulitumia neno...
Hili suala sio la kucheka,binadamu tuko tofauti sana!!!Kuna wengine wanapenda na wanalilia hata zaidi ya hiyo!!kwani wanawake huwa wanajua saizi ya mtu anapotoka na njemba kwa mara ya kwanza???ukikutana nayo chumbani huna namna ni kuridhia tu
Huo msimamo unaouona ni wa kutunga na kujitetea ili watu wamuone ana msimamo ila ukweli hata wewe waujua kuwa.Tumeumbwa yale mambo yafanyike sirini.Wote wanafanya ila sio peupe.kama haogopi shuka lilikuwa la nini kujigubika
Hebu toa taarifa elekezi;mdogo wako(kama kweli) anasoma wapi,anasomea nini,ameolewa au bado,namba ya simu,ana umri gani hizo ni taarifa muhimu kuliko picha.Anywayanaonekana mtulivu na amepoa kwa nje!!!mna uhakika wa kupata ng'ombe kadhaa hapo
hii skin tight nzuri SANA na pia dada mwenyewe anaonekena ana element za usafi,maana kavaa kitu cheupe!!!wengine hawathubutu kuvaa vitu vyeupe.Hongera dada kwa kujistiri vema.mtuma post cjui alitaka amaanishe nini???Re-phrase your post
Anajuta sana kimoyomoyo ila hataki watu wajue udhaifu wake!!Ukimuangalia sana tabia yake ya ubishi,sura ilivyokaa na macho yalivyo utagundua kuwa huyu binti ni SOCIO-PATH ingawa yeye hajijui na hatajijua kamwe!
Ninakana na nitaendelea kukana kuwa eti hajutii kuliwa uroda na enerst,mtu yeyote duniani hawezi kufanya mapenzi ktk kamera au hadhara halafu asijutie labda kama ana matatizo ya kiakili au kisaikolojia.Kama aliona sawa kwa nini walijifunika lishuka gubigubi kama haogopi kitu.Hapo anaongea kwa...
Hiyo yote ni kutafuta sababu ya kuachana na huyo jamaa yako!!!Jiulize haya:-
1.Wakati mnaanza mahusiano mlikubaliana kuangaliana simu zenu au hilo umelitunga wewe????
2.Kama yeye haangalii simu yako wewe kinachokuwasha ni nini,unadhani wewe ndio unampenda sana kuliko wewe.Kama hakupendi c...
Sio kama mshipa wa aibu umekatika ila wanapenda sana kurahisisha mambo na pia kujaribu kila kitu.Huwa hawajali kama wanyama vile.usiwafatilie utakuwa mwehu
Inaonekana ni mwanga umeakisika kutoka mahali kama si kamera basi kuna mahali umetokea.Sio doa kwa kuwa linaonekana linahama toka sehemu moja hadi nyingine
Kwa hiyo mwanamke akiwa mweupe ndio mzuri???Mbona watu wana fikra mgando??Ukipenda mikorogo penda tu,na wanaopenda weusi waache wawapende!!!Sio kushobokea rangi
Yaani huo mzigo ukioa presha labda umiliki na bunduki,kama dadako presha,kama c wako presha ya udenda na uchu!aah mungu anafinyanga watu.unaweza kuhonga hata nafsi!mtuma thread ungetoa tahadhari,hii mambo c mchezo
Potelea mbali!wewe unataka mapenzi au maongezi?kuna mijitu humu haina upeo kabisa,mapenzi hayana shule!nahisi wewe ni muhindi au wapenda mapenzi ya kihindi ya kuimba vikota na kusimuliana tamthilia.wengi wa wanawake wenye elimu ndo vihiyo kabisa kitandani.nina mashaka na uzoefu wako ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.