LOGO DESIGN
Bei:
50,000/=
2 Logo Concepts ikiwa na raundi mbili za masahihisho kwa kila Logo.
70,000/=
3 Logo Concepts ikiwa na raundi mbili za masahihisho kwa kila Logo.
BRAND IDENTITY
Bei:
Tsh 100 000/=
Logo, pamoja na patterns, matumizi ya rangi, na elements muhimu zinazobeba brand...
Salaam wakuu. Natumai wote mpo wazima.
Naomba kazi ya Graphic Design kama
• Kudesign logo
• Kudesign business cards
• Kudesign presentation
Yaani kiujumla any design kwa kutumia
• Adobe photoshop
• Adobe Illustrator
Uzoefu wangu ni miaka 2,
Sijafundishwa chuo nimejifunza...
Wakuu habari zenu.
Natumai mu wazima.
Kutokana na mabando kuwa juu, niliamua kwenda maduka ya TTCL na Voda shop kuangalia home internet.
TTCL walinipa hii details.
Kulingana na matumizi yangu nilipenda hicho cha 55k.
Lakini sijajua wakoje kihuduma plus kununua DSL modem.
Nikaamua kucheki...
Hello wakuu.
Nipo natafuta chumba single. Kuanza life baada ya chuo. Naomba mwenye nyumba yoyote aliye maeneo hayo anisaidie room single
Bajeti yangu ni 60k - 80k kwa mwezi.
Dalali niseme hela yako inaniwia ngumu. Ikiwa 50% nipo tayari.
Msaada wenu.
Salaam wakuu.
Nchi hii ni yetu sote, matatizo yetu tunaweza kuyatatua kwa rasimali kidogo tulizonazo. Hapa Tanzania suala la Ambulance hata hatuelewi linafanyaje kazi. Mara nyingi ambulance zinasafirisha referred patient (Wagonjwa pendekezwa kwenda hospital nyingine).
Kwa matatizo ya dharura...
Salaamu wakuu.
Taasisi za kiserikali ni muhimu sana kwenye kuchangia upatikanaji wa maendeleo kupitia utoaji huduma ambao utawezesha kufikia malengo ikiwamo kupunguza rushwa, urasmu na umasikini.
Napendekeza kuwe na kibao kila taasisi inayohudumia wananchi. Chenye namba za kuripoti kukitokea...
Hello guys.
Nahitaji Yoyote anayeweka game kwa PC au anayeweza kunisaidia Game la FIFA 19.
Nipo Dar es Salaam
Ubungo Chuo kikuu.
Nina shida na hilo game.
Naombeni mnisaidie mkiweza.
Kichwa cha habari chahusika
Wakuu humu wanaofanya udalali
Naomba kupatiwa chumba chenye hali nzuri kinachofikika na usafiri chenye huduma zote na usalama maeneo tajwa.
Nicheki kwa SMS or WhatsApp 0762179938
Call sipokei kutokana na tatizo la kutosikia vizuri.
Umofia kwenu wakuu.
Naona kila thread ya jukwaa hili kwenye comment wakenya wanahasira na chuki za juu baada ya kutoa kapepa ambako me binafsi sijaconfirm kuwa Tanzania haijapigia Kenya kura.
Wakenya hebu tulieni bana, sisi ni nchi huru na kupiga kura tunapiga kwa hiari tukiwa na akili timamu...
Wakuu salaam
Nina pc yangu Hp probook, nilikuwa nafanya kazi fresh baadae naiweka chaja Windows inagoma kufunguka inaleta hii notification.
Msaada tafadhali.
Salaam wakuu.
Binafsi sifurahishwi na nyuzi mpya mpya humu kutoka kwa ndugu zangu watanzania wakifanya mzaha hatua za serikali ya Kenya juu ya kuzuia kusambaa kwa Corona.
Hata kama Tanzania kuna unafuu hatupaswi kuwacheka na kuleta ligi za kukebehi juhudi zao. Muda huu ni wa kuwapa pole na...
Hello Guys
Hope you all are in good mood.
I would like to get some details about the similarities and differences between them and please i would like to understand the meaning of BBI Task Force in deep.
Come prove your is better.
Thank you so much.
Wakuu salaamu.
Ningependa kujua ni gharama kiasi gani hutumika kukomboa mzigo bandarini.
Kwa mfano.
Mzigo wa nguo 200pcs
Ulioununua kwa 500000
Je, ni shiling ngapi inatumika jumla hadi kuupata?
Ahsante sana.
Salaam wakuu.
Kuna shughuli imepatikana kufanyikia Dar Es Salaam. Inahitajika nyumba nzima yenye vyumba 3 vya kulala sebure, jiko na iwe na uzio. Iwe rahisi kufikika na usafiri wowote isiwe ndani ndani sana.
Kodi iwe kuanzia 500k to down.
Madalali naomba mnisamehe hela yenu sina Napendelea...
.
Nimekua nafatilia mijadala mingi humu siasa zinakuwa chuki kila siku. Siku hizi matusi yamezidi kila upande hutakii mafanikio na ikitokea mafanikio basi kuna madai kuwa ni kujikomba, Uchaguzi umekaribia n.k
Makundi makuu mawili yanabishana, CCM na Upinzani. Kwa maoni yangu nitachambua kila...
Wakuu salaamu.
Nimekuja kwenu kujua naamini humu kuna maduka ya simu na waliowahi kununua. Kuna ndugu zangu huko mkoani wanataka wamiliki shida wametuma vilaki. Nipo busy kidogo naomba kujua ni zipi ili niingie dukani nimalize shughuli moyo utulie.
Thanks in advance
Kama huwezi kusoma Makala hii soma hitimisho basi.
UTANGULIZI.
Ni masikitiko makubwa kuona watanzania huku mitandaoni wakishangilia Umoja wa ulaya(EU) na Marekani kuingilia mambo ya Nchi huru ya Tanzania.
Japo ni kweli kuna mambo baadhi ambayo serikali inafanya yasiyo ya kuridhisha lakini...
Wakuu yaani nimevurugwa asee!
Nilikuwa najua kuripoti ni tarehe 27 nikajipanga nikakata tiketi tarehe 23 niondoke tarh 26 alafu wanaleta habari ya kubadili muda wa kuripoti. Ndio hivyo kesho nakuwa dar alafu sina ndugu. Aaah! Nafanyaje sasa. Naombeni mnishauri.
UPDATE.
Nimefanikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.