A tiny percentage?
Alafu hao wahindi na waarabu eti wanamiliki utajiri wetu, kwani wakiyumba kuna kitakachoharibika si wanakua replaced.
Kipindi cha Magufuli unajua ni wahindi na waarabu wangapi walikula msoto sana.
Hadi huyo Mo. Still we was not affected?
Muarabi tena sio Muiran?
Mwafrika wa wapi? Si wa Uingereza. Kwa hiyo Rashford sio mwafrika.
Wazee wa double standard. Mna somo la uraia huko kwenu kweli?
Na aliyewaambia ni Africa tu kuna blacks nani?
Ila we fala tuoneshe uraia wake. Maana wetu tukiwa nao unasema ni wairan ni foreigner.
Tuoneshe official website inasema
Origi ni mkenya
Tayloe Onyago ni Mkenya?
Maana vyombo vyote vinasema mmoja mbeligium mmoja mwingereza
Acha kujifrahisha we fala, kwanza siku HARAMBEE STARS IKICHEZA MECHI ZA KALENDA YA FIFA/CAF hapo nyumbani ndio uje kutupigia kelele.
Unatuwekea uchafu mwingi, huu ni mwaka wa ngapi timu yenu ya taifa inatangatanga.
Kuna Wapumbavu wanasema hawana njaa, sasa linganisha comments za hapo na walinganishe na comments zetu kwa ule msaada wa MAREKANI unajua nani ana njaa kali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.