Tatizo huwezi kutofautisha wasomi na wasiosoma,wote unawakuta kwa mganga,Utawatofautisha
kwa maelezo ya shida zao,msomi anaenda kuomba apandishwe cheo na kupata madaraka,asiyesoma anaenda kuomba jirani yake afe
kwani anazidi kuongeza mali na watoto wake wanasoma shule nzuri.
Matokeo yake nchi...
Habari hii nilidhani kuwa ya maana lkn baada ya kuhusisha Zitto basi nimeidharau
kwani kama ana uchungu na nchi hii asingekuwa tayari kupoka demokrasia,na leo yeye na wafukuzwa wenzie
wanapambana na CDM kuliko hao anaowaita wanafilisi nchi.Kupigania haki humu mitandaoni
wakati huko nje anakula...
Tumekusikia mkuu,na hoja yako ina mashiko lakini,wakulima wa huko bukoba wanayajua hayo?
kama wanayajua,kwanini kwa miaka yote hii wameendelea kuwachangua wabunge hao? Fikiria daraja la kaja na kyamugera toka enzi za rwegasira mpaka kamala na wote walikuwa mawaziri ni majanga,njoo muleba...
Wapendwa binafsi naona kama kweli sisi wananchi tunataka katiba mpya basi tuwakanye wanasiasa hasa hasa ccm,
wajadili kwa hoja maoni yaliyotolewa na tume ya jaji walioba na siyo kuyakosoa kwa hoja nyepesi.Nimefuatilia maoni ya wengi yamejikita kwenye kukosoa badala ya kujadili.
Nina maana...
Kama issue ni kutamka tu bila kusimamia ulichotamka,sasa hapo mamlaka ya rais ni ipi?
Tunaaminishwa rais ni taasisi hatuna ugomvi na hilo,na matamko yake yanashughulikiwa na taasisi,mleta uzi anauliza mbona hakuna kinachoendelea toka 2008 mpaka leo? nawatenda kazi wa wizara ni wateule wa rais au...
Kwani mashine za gesi za tanesco ambazo ziko tegeta zinatumia gesi gani? Jamani ni afadhali kuuliza ukaeleweshwa
ndo uchangie mada.Leo hii mnasherehekea wizi kesho watoto wenu watalia,jifunze misri MUbarak na wanae,
japokuwa sijui kama na wewe unanufaika na mfumo au umelishwa dagaa na matembele...
We upo mawenzi tbt afu unamfanya mwenzio aende tank bovu nimepishana naye kwa maafande yuko speed,
akifika utamwambia ageuze,acheni utani jamani watu wpo serious.
Mamangu kwenda jkt ndo kupata kazi? ngoja waje huku mtaani uone,kamwulize shonzaae alionekana mara moja akikaribishwa na rais,baada ya hapo kwishiney,amebaki humu jf.Msomi yeyote mwenye akili hawezi kushadadia kufa kwa upinzani TZ,wanaofanya hivyo ni wachumia tumbo,kama ni wasomi waseme hapa...
Wasomi ambao hamjapata ajira mnamtisha nani? Mkimaliza kikao mjadili namna ya kugoma ili mpewe boom zenu.
Futeni afu mje huku mtaani viatu vipinde kwa kusaka ajira ndo mtajua kuwa kachumbali siyo mboga.
Mkuu NSSF ni mojawapo ya taasisi za umma,ipo chini ya uongozi wa serikali sikivu ya chama tawala,
nadhani ni vyema kupeleka malalamiko haya kwa napi na kanana waitembelee taasisi hii
na kuwapa maelekezo kama wanayoyatoa kwa taasisi nyingine mikoani kutowaudhi wapiga kura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.