Bora mkaanze kujenga mji mpyq wa Mbeya maana nyumba za tope Mbeya ni nyingi kuliko hizo za tofari za kuchoma au cement. Mitaa yote ya makunguru, soweto, Mwanjerwa, mabatini nk kote tope tupu.
baada ya serikali kukosa uwezo wa kutatua matatizo ya wananchi wake wote ndipo huanza kuwabagua kwa uchama udini na ukanda ili kupata ahueni fulani. zikiletwa picha za kuonyesha ushahidi wa hali mbaya ya miundombinu katika majimbonyanayoongozwa na CCM utashangaa na kufuta uzi wako huo dhaifu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.