Inategemea umri wa watoto pia. Km bado wadogo why uwanyime mother love kwa ugomvi wenu wazazi? Au kwa kukwepa majukumu yako?
Na hata km wanajitambua still bado wana uhuru wa ku decide waishi na nani.
Huko si ndo tabia yao kabisa. Unaambiwa ni rahisi sana kumkuta wadada bikra lakini marinda siku nyiiiingu.
Vijana ndo usiseme
Unajua haya mambo hufanywa sirini ndo maana tuna ujasiri wa kukemea sbb hakuna anayeweza kusoma siri zetu.
Lakini ushoga na ufirauni unafanywa na watu wote wa dini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.