Mungu Ametupa maarifa ili tuweze kuyatumia ktk mazingira yetu.
Wote tunaamini kuwa mungu ndio mlinzi wetu.
Hivi kwa nini mkuu usiku ukilala huwa unafunga milango ya nyumba wakati mlinzi wetu mungu yupo?
Mkuu embu tuache kumjaribu mungu.
Tuchukue tahadhari ndio mungu atatusaidi
Mimi bado sijaamini kama Ali amejibu hivyo.
Naimani kuwa wamehack na sio yeye alieandika.
Namuheshimu sana Kiba na kama ikiwa ni yeye kweli, nitaanza kumdharau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.