bro samahan iv ukitaka kusoma degree mwaka mwingne inabidi usiapply kabisa mpaka huo mwaka? MF mm nmemalza mwaka huu diploma ila namaan nsiapply kabsa mpaka mwaka kesho ambapo ndo nataka niendelee kusoma?
samahan bro iv kama unataka kusoma degree mwak mwingne inabidi usiapply kabisa mpaka huo mwaka utakaotaka kusoma MF mm nmemalza mwak huu diploma nataka kusoma mwaka kesho INA maana nisiapply mpaka mwaka kesho?
samahan bro swali nje ya mada hvi uktaka kusoma degree mwaka mwingine inabidi usiapply kabisa mpaka mwak huo utakaotaka kusoma mf mm nmemalz diploma mwk huu nataka nisome degree mwk kesho?
OK bro mf mm nmemalz mwaka huu ila cjaomba kabsa na vigezo vya GPA ninavyo hvo nisiombe kabisa nitaomba mwk kesho nikianz kusoma nianz kila kitu upya et, maana yake si watanidahl kw vigezo vya mwaka huu
iv bro mtu akiahrisha kusoma akasema atasoma mwak mwingine af huo mwak vigezo vikawa vimebadilk, ina maan yey atakosa chuo au atadahliw kulingana na mwak wake ambapo alkuwa na vigezo mf GPA ikibadilka?
bustani ya edeni ni wapi kwa dunia ya sasa,? alafu kama bustani ya edeni iliharibiwa na gharika, vipi mti wa uzima wa milele nao uliharibiwa, maana malaika waliwekwa kulinda njia iendayo kwenye mti wa uzima wa milele nao uliharibiwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.