MAONI YA MSEMAJI WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA MAMLAKA YA NCHI KUHUSIANA NA UMILIKI WA MALIASILI WA MWAKA 2017 (THE NATURAL WEALTH AND RESOURCES {PERMANENT SOVEREIGNTY}) BILL, 2017
( Yanatolewa chini ya Kanuni ya 86 (6) ya Kanuni za Kudumu za Bunge ,toleo la...
Waliofanyakazi na Obama wote wajiuzulu serikalini
Gazeti la Washington Post limeandika kuwa, kujiuzulu kwa wakurugenzi na maofisa wote wa ngazi za juu ni sehemu ya mwenendo wa kuachia ngazi maofisa wa ngazi za juu wa Serikali iliyopita ambao hawataki kufanya kazi na Rais Donald Trump.
Hii...
Wakati Sheria ya Usalama Barabarani inamtaka kila dereva wa bodaboda kuwa na
kofia ngumu (helmeti) mbili kwa ajili yake na abiria, watumiaji wa vyombo hivyo wapo hatarini
kuambukizwa maradhi ya ngozi.
Hatari hiyo inatokana na matumizi ya helmeti chafu.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk James...
Kiongozi wa ACTWazalendo, Zitto Kabwe amesema mwaka 2016 ulikuwa wa utumbuaji wa majipu na kusahau kuongoza na kuboresha maisha ya wananchi.
Akizindua kampeni za chama hicho katika Kata ya Kijichi, Dar es Salaam, Zitto alisema Serikali
inapaswa kuendelea mapambano dhidi ya ufisadi lakini pia...
Watu wote waliokuwa wamefanya usaili kwa ajili ya ajira serikalini kupitia Sekretarieti ya Ajira ya Utumishi wa Umma kabla ya ajira kusimamishwa, watafutwa ndani ya miezi 6 na kulazimika kuomba upya kipindi ajira hizo zitakapotangazwa tena.
Hilo limebainishwa na sekretarieti hiyo kupitia majibu...
ITV imeripoti Wanachama 18 wa CHADEMA akiwemo Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salum Mwalimu wamefikishwa Mahakama ya Mkoa wa Simiyu
Bila shaka makosa ni yale yale "UCHOCHEZI", mwenye taarifa zaidi tafadhali
=======
UPDATES:
Mahakama ya mkoa wa Simiyu yawanyima dhamana wanachama 18 wa...
Kuna huyu bwana mdogo anaitwa Steve Mangere, siku za nyuma tulizoea kumwona katika majukwaa akimwigiza sauti hayati Baba wa Taifa, kutokana na hilo akaanza kujiita Steve 'Nyerere', hivi siku hizi anafanya nini, hivi na yeye bado tunamwita msanii?
Huyu jamaa toka azimwe na wasanii wachanga wa...
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Biashara imeamuru Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi afike mahakamani kujieleza kwa nini asifungwe gerezani kwa kushindwa kutekeleza hukumu inayohusu malipo ya Sh bilioni 1.2.
Mengi anatakiwa kufika mahakamani hapo Agosti 24, mwaka huu kujieleza...
Wakuu naomba kuelemishwa juu ya hiki kitu kinaitwa INSTA ADS, zinafanyaje kazi, zinatengenezwaje, na zinawezaje kukuingizia kipato?
Yeyote anayefahamu tafadhali...........
Nimefuatilia kwa ukaribu uuzwaji wa Simba kwa MO na huu ukodishwaji wa Yanga kwa Manji nikabaini moja kwa moja hakukuwa na ushirikishwaji hata kidogo wa wajumbe/wawakilishi kutoka Mikoani, je ni kweli Simba au Yanga hawana wanachama Mikoani? Kama wapo kwa nini hawakushirikishwa?
Hizi shughuli...
Tangu majuzi naona watu wamekomaa na Joyce Kiria, hivi mnaijua historia yake?
Laiti mngeijua historia yake wala msingehangaika wala kupoteza muda kumjadili, kavurugwa tangu utoto, hana aibu, ngumu sana kwake kujua hili linafaa hili halifai, na kwa bahati mbaya sasa kamtuliza kiganjani na bwana...
Vyama tisa vya siasa kati ya 22 vyenye usajili wa kudumu vipo hatarini kufutwa kutokana na kushindwa kukidhi vigezo na matakwa ya kisheria yaliyoviwezesha kupata usajili wa kudumu.
Hatua ya kufutwa vyama hivyo, vikiwamo baadhi visivyo na ofisi za kudumu (vyama vya mfukoni) itafikiwa ikiwa...
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza amepiga marufuku maandamano ya vyama vya siasa mkoani kwake akisema kitendo hicho kinaweza kusababisha uvunjifu wa amani.
Katazo la Masenza linakuja siku moja baada ya kauli kama hiyo kutolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla ambaye naye amekipiga...
DED mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Mkoani Kilimanjaro, Emalieza Chilemeji aliyeteuliwa na Rais John Pombe Magufuli July 7, hadi sasa hajaripoti kituo chake cha kazi na hakuna taarifa yoyote aliyotoa
Mkurugenzi aliyeondolewa, Fulgence Mponji anasema hata yeye hajui alipo na alikuwa...
** Vyama vyote vyenye wawakilishi katika vikao vya mabaraza ya madiwani, Bunge la Jamhuri ya Muungano na Baraza la Wawakilishi, vinapewa ruzuku na Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
Pamoja na mambo mengine, lengo kuu la ruzuku hiyo ni kuviwezesha vyama hivyo kufanya shughuli...
Mkali wa wimbo ‘Kidogo’, Diamond Platnumz amethibitisha ujio wa mtoto wa pili kutoka kwa mpenzi wake Zari.
Muimbaji huyo amesema yeye na mpenzi wake Zari wanategemea mtoto wa kiume.
“Yah kweli mimi ni baba kijacho,” Diamond alikiambia kipindi cha Leo Tena “Natarajia Mama Tiffa anipatie tena...
Meya wa Kinondoni, Boniface Jacob amedai kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amekuwa na tabia ya kudharau na kutoheshimu viongozi wenzake, hasa wa upinzani.
Akijibu tuhuma hizo jana, Makonda amesema: “Huyo anayelalamika mwambie huo anaoufanya ni utoto akikua ataacha. Narudia tena...
Hatimaye Serikali imeanza mchakato wa kupinga hukumu ya kesi ya Sheria ya Ndoa iliyotolewa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuhusu umri wa kuolewa, baada ya kuwasilisha kusudio la kukata rufaa.
Hukumu hiyo imetolewa Julai 8 baada ya kesi ya kikatiba kufunguliwa na mwanaharakati wa haki za...
Mmoja wa madereva waliosababisha ajali ya mabasi ya Kampuni ya City Boy iliyotokea Julai 4, mwaka huu na kutoroka, Boniface Mwakalukwa (37), amejisalimisha mikononi mwa polisi na kufikishwa mahakamani.
Mwakalukwa ambaye ni mkazi wa jijini Dar es Salaam jana aliunganishwa kwenye mashitaka na...
Na Charles Francis M,
Kuna mambo ambayo Rais Magufuli ana shangaza wengi. Kasema kila kiongozi afanye shughuli za kisiasa katika Jimbo lake, sasa tumuulize Rais Magufuli maswali yafuatayo:
1. Freeman Aikaeli Mbowe ni mbunge wa Hai lakini pia ni mwenyekiti wa Chadema taifa. Je, kwanini azuiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.