Waungwana habari ya leo....?
Bila shaka wengi wetu tu wazima na Mungu katupatia neema ya kuiona siku ya leo na walio wagonjwa Mungu aendelee kuwapigania.
Nakuja kwenu kuomba msaada wa kujua ni wapi naweza kupata hizi bidhaa/ product (diapers and sanitary pads) kwa makampuni mbali mbali kama...
Natumai mu wazima
Naomba kupata msaada juu ya simu yangu( samsung A3) inakataa kuingia chaji na kuandika NOT CHARGING NA KUANDIKA OVER HEATING HATIMAYE KUJIFUNGA APPLICATIONS ZOTE ZINAKUWA HAZIFANYI KAZI, hata kupiga simu ninakuwa siwezi labda emergency call tu.
Je, nini tatizo na utatuzi wa...
Heshima kwenu wanajukwaa!
Kuna binamu yangu amepangiwa mchepuo wa PCM shule ya Tosamaganga, sasa shida yake iliyonifanya kuleta uzi anaomba kujua vitabu gani vya kununua kabla hajaenda shule kulingana na mchepuo wake.
1.physics( 5 na 6)
2.chemistry(5 na 6)
3.p/maths(5 na 6).
Si mbaya hata...
Heshima kwenu wakuu.
Kama kichwa kinavojieleza hapo juu, naomba kujua vile vyakula vinavyobaki baada ya mauzo ya siku kule kwenye mahoteli, migahawa na mama lishe huwa vinaenda wapi?
Msaada kwa anaejua maana nina wasiwasi huwa tunalishwa viporo.
Wakuu habari za jioni,
Kama heading inavojieleza hapo juu,
Naomba kujua ni jinsi gani wamiliki wa website na blogs wanavopata faida kutoka katika blogs na website, mfano 1. Millardiayo 2. JamiiForums.
Habari za leo wanaJF..?
Naomba msaada wa kitaalamu juu ya simu tajwa hapo juu..
Hii simu nimeitumia tangu 2014 May lakini siku chache zilizopita ilianza kuleta maandishi juu ya kioo ambayo yanajirudia kila mara bila kuisha (kila application inakuwa inaandika UNFORTUNATELY STOPPED) na kunifanya...
Natumai mko salama wanajamvi..
Napenda kuuliza hivi walimu na madaktari waliokuwa wanagoma kwa kudai masilahi ya kazi zao season ya 4 (KIKWETE) wamepotelea wapi au wameshawekewa sawa masilahi yao ndo maana season ya 5(MAGUFULI) hawajaendelea kuyadai??!!
Pia hawa ndugu zangu wanafunzi wa vyuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.