Si kweli kuwa kasema watu wasivae barakoa. Mbona mara nyingi amesema tuendelee kuchukua tahadhari huku tukimtanguliza Mungu. Ila watanzania tunashida sana ya uelewa. Mheshimiwa MagufuliJP anatumia nguvu kubwa kwa watu wasio na akili ya kujua mambo. Hakuna mahali amekataa tusivae barakoa. By the...
Tutagunduaje shida wakati macho ya kila mtu anataka tuseme tu ni corona.
Watu wanawatukana madaktari ndiyo wanaofanya ugunduzi huo.
Watanzania tuache kuiga na umuch know tutakwisha kweli.
Sasa hivi kila ugonjwa ni corona, matokeo yake tunashindwa hata kufanya basics diagnosis, tunashindwa...
MODESTUS CHOGGA alikuwa babu yangu mzaa mama. Tulipigwa pin [emoji625] Sana miaka Ile Hakuna ukoo wa CHOGGA ulitoka miaka ile. Tumeanza kutoboa miaka hii. Babu yangu alifariki 1993 aliumwa sana. Mwaka 1992 aliunda Chama chake cha upinzani. Kiliitwa CHAMA CHA TANTU. anyway nimekumbuka mbali...
Siyo kweli. Katika kipindi chake hata supply za mbolea zinatoka kwa wakati kuliko rais yeyote. Na amekuwa akisisitiza tulime kwa bidii ili tusaidie nchi waliojifungia. Amekuwa akisisitiza kuwa hata toa chakula kwa wasiolima. Mkuu wa mkoa, wilaya, Das na viongozi wote wa eneo ambao watakumbwa na...
Unaona sasa. Mimi sikuzungumzia review of prescription bali nilimjibu pale juu kuhusu kufanya physical examination. Unaporeviwe prescription unakuwa unafanya physical examination.
Na una review prescription aliyoandika nani. Kwanini usiandike mwenyewe basi. Bahati nzuri umesema kuhusu job...
Rikiboy mzee wa kula kimasihara. Hiyo nilimjibu mtu pale juu soma tena. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hakuna aliyesema hawatakiwi kila mtu afanye yake aliyosomea. Tuache kuoneana wivu
Melete shule ya masista iko Songea. St Agnes chipole English medium. Ina darasa la saba kwa mara ya kwanza. Kwa darasa la nne inaongoza kimkoa. Kitaifa iko kwenye 10bora
Cardiac arrest haina uhusiano. Malaria inaonyesha alikuwa anaendelea vizuri. So cardiac arrest inawaza mpata mtu yeyote wakati wowote. Commonly inaweza kuwa due to shambulio la moyo. Heart attack. Mara nyingi heart attack ikiwa ni major yaani ikihusisha mishipa mikubwa ya moyo haichukui round ni...
2010 mbona hakusema kwa JK au kwasababu alimhaihidi kumpa urais kama pipi. Mbona Mwaka huu unachonga sana. 2000 mbona huku hoji haya au ulikuwa bado mtoto. Acha upumbavu membe hata heshima niliyokuwa nakupa nitaondoa sasa.
Hamna shida as far unakopa before kupata hela yako na unatumia kitu cha msingi. Kuliko kwenda kukopa Bayport. Tuwaache watumishi waishi as they wish. Sioni Shida kabisa. Hii Pana kipindi nilikuwa napigika kweli but umenisaidia sana kuishi maisha yangu bila mtu kujua kuwa nimechacha
Sent using...
Cha kufanya fanya hivi. Mwambie akupe business plan yake afu then mtashare ili mfanye business pamoja iwe ya familia yenu mnayo tarajia kuanzisha. Then utaona kama hiyo business ni double au anataka kukupiga tu. Nenda naye taratibu utamgonga tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.