Habari za weekend wataalamu
Nimenunua TV aina ya star X naomba kujua namna ya kuunganisha na simu yangu kwa wireless ili niweze kushare music na video. Kabla ya hii nilikuwa na TCL ilikuwa rahisi tu
Motorola Moto X30 Pro
Camera 200 MP
Selfie camera 60 MP
Screen 6.7"
Fast charger 0-100$ 19 minutes
Kwa maoni yangu hii ndiyo simu bora kabisa ya Android. Sioni Samsung yenye sifa hizo
Baada ya kutumia smartphone za makampuni mbalimbali I. e
Nokia/Lumia
Samsung/Galaxy S6
Tecno/H6, wx3, F1, J8 ...
Xiaomi/Redmi note 8,na sasa natumia note 10
Naomba ushauri kati ya hizi
OnePlus Ace
Realme GT Neo 3
Galaxy S10 used
Bei zinalingana tu
Refer to the heading above
Waziri wa kilimo ndugu Husein Bashe, wakulima tunalia na bei ya mbolea.
UREA mwaka jana bei ilikuwa Tsh 50,000/- kwa kilo 50 sasa ni 110,000/-
DAP ni 120,000/-
Kuna uwezekano mkubwa kushuka kwa uzalishaji wa mazao hasa huku nyanda za juu kusini maana ardhi hii bila...
Baada ya kushindwa kununua galaxy S10e kwa sababu ya bei,nimepata pesa kidogo ninayoweza kununua simu hizi;
1.Honor 10 lite
2.Huawei y7 pro
3.Redmi note 8
4.Lenovo z6 lite
5.Realme q
Naimba kwa mwenye uzoefu na hizi device, nichukue ipi?
Bei ina range 298K - 365K aliexpress
Nimenunua smart TV aina ya TCL 32"
Hapo kabla nilidhani smart TV zina android os ambayo naweza download application kama azam app ili niweze kuangalia TPL,lakini sijaona uwezekano huo.
Kwa ujumla sijaona tofauti kubwa na hizi za kawaida.
Je kuna matumizi mengine ambayo labda sijagundua?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.