Dawa hizo ni muhimu sana.
Wanatoagaa Folic acid na vya Iron.
Hizo Folic ni muhimu sana miezi 3 ya mwanzo ya Ujauzito maana zinaepusha Mtoto kuzaliwa na vilema kama.
Kichwa maji.
mgongo wazi
Mdomo sungura
Lips za kuchanika na vilema vingine.
Kama hizo zinamshinda kuna ambazo unanunua hazina...
Hakufai.
Hakupendi.
Hana bikra huyo mzoefu sana
Aache kutolewa bikra na mpenzi atoe na dildo?
Inshort wewe ni wakuchunwa tu.
Hana mpango na wewe.
Hizo pesa fanya projects
Tuliza akili kwanza ndio utajua nini cha kufanya.Chochote ufanyacho uendelee kumpenda na kumueshimu baba mlezi kama baba yako.Pili ulizia kisa cha mama yako kutokukufahamisha juu ya baba mzazi hapo ndio utajua kama utataka kumfahamu au la
Vanessa alikua sahihi kabisa kutokukusubiri maana unaonekana wewe bado upo upo tu wakati biological clock ya mwenzako ilikua inasogea.Ila bado anakupenda anataka uwe mpango wa kando aisee.Poleni sana.
Europeans ndio staili yao kula na uma na kisu,Americans they real dont bother that much labda wale wa high society.Hivyo waswahili hata tusiposhika propery sio ushamba
Sioni logic kama kweli amefanya akuletee condom ili iweje sasa.
Kwa mtazamo wangu my be aliona hiyo condom akawa fascinated akaamua akutoe ushamba na wewe
Watu kama nyie mkioa ndio mnasababisha wake zenu wasinyonyeshe watoto ili ku keep figure na matiti kusimama.Mnasababisha kuleta taifa la watu mbumbumbu.nadhani hata uzazi utamwambie wife afanye elective c section.
Majanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.