Hivi wameshaacha uswahili hawa?? Na hili swala la miezi 6 wana-comply au ndio njoo kesho, njoo kesho kutwa??
BTW, nimesikia Ilala wako vizuri, hata approach na response kwa wateja wao ni nzuri sana. Hawa wa Kinondoni wana tatizo gani haswaa?? Meneja wa NSSF tawi/mkoa wa Kiondoni ameshindwa kazi??
Fast Cash Needed!!
Nissan Terrano II, Year 2000, Diesel Engine, 2264 CC, 4-wheel drive.
Reg. BAF, Bullet Proof Engine (Engine haijawahi guswa), 7 seaters.
Iko kwenye hali nzuri na inatembea.
Muuzaji ni mmiliki mwenyewe. Maongezi Yapo.
Inapatikana Dar. First Come First Served!!
Yaani hii mv magogoni italeta majanga wasipolishughulia tatizo lake kwa wakati.
nasi ndio tunakipanda tena muda huu, tumetangaziwa tatizo wameshalitatua. Ee Mola tunaomba tuvuke salama.
Kiwanja kimepimwa, ni cha mradi wa manispaa ya temeke. Kina sqr mtr 1750, kwenye ramani kiko kwenye kona pacha za mtaa. kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi, guest house, hotel n.k.
Ninakiuza kwa 12M tu (mazungumzo yapo), na wewe utaenda kulipia vocha manispaa 14M.
Ramani ya eneo la kiwanja...
Nina 2L ya ukweli, model ya 90's, dark blue. Kama unajua magari, hilo ni jembe, mikato ya mkoa kwa mkoa ndo mwake. Reg T...CRZ. Ongea biashara, 13M nakuachia. 0784406004
mkuu kuna watu ni matomaso sana. 79 shs per call (hata kama ni 30 minutes) sio big deal kwa hapa mjini?? kwa gharama za simu za sasa zilivyo juu?? kiukweli me zinanitosheleza sana kuongea na wife na hg back home daily.
wacha matomaso waendelee kuumia na mitandao maarufu wakati mitandao hiyo...
Habari nilizonazo ni kuwa, huo ni mtandao mpya wa simu afrika mashariki, na tanzania ikiwa na tawi tanzania. Unakuja kuboresha mawasiliano kwa kuijali jamii inayoizunguka zaidi. Walianza kwa kuwaomba waafrika wawape jina (give us a name), majina yakapatikana na hatimaye majina machache...
Habari nilizonazo ni kuwa, huo ni mtandao mpya wa simu afrika mashariki, ukiwa na tawi tanzania. Unakuja kuboresha mawasiliano kwa kuijali jamii inayoizunguka zaidi. Walianza kwa kuwaomba waafrika wawape jina (give us a name), majina yakapatikana na hatimaye majina machache yakapigiwa kura. Jina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.