nimesikiliza mwanzo hadi mwisho, na wengine sikilizeni vizuri mwanzo hadi mwisho kisha linganisha kile alichoandika mleta mada. Hapo tu ndo utaelewa akili zetu hazina akili, ikiwemo wewe uliyeleta hii mada.
watu wanadharau demand notice na simu, huo ni ujinga, hata kama unadaiwa nenda kaongee nao, wakati mwingine tunalaumu TRA kumbe ni maudhi ya kampuni yenyewe, na si kila kodi inasubiri hadi mwaka ndo ulipe, unawakata watu paye afu hutaki kulipa
labda inategemea na simu na maeneo lakini simu zenye 4g lite na kuendelea ukiwa na line ya halotel hasa za 4g speed inakuwa poa, download kuanzia 1mbps upload kuanzia 2mbps, ukiweka 1gb labda uweke na limit maana ni masaa tu limeisha hasa kwenye tiktok, youtube
katika maisha unatakiwa kujifunza kushukuru kile ulichopata, lkn kamwe usidhiaki kile alichopata au kukosa mwingine maana wote hatujui siku wala saa. Upendo kwenu wanawake na mabinti wote mnaojieshimu na wenye utii, haijalishi 'mliteleza' au 'hamkuteleza' katika maisha yenu.
wagalilaya mpo? mnakubaliana na jamaa kumvua binti nguo kabla ya ndoa takatifu na kuidhalilisha familia? Tupia basi ka audio ulivyokuwa unaongea, tuone kama umefika top levo yetu wale tulio zitindua baada ya sacrament.
kama mkeo alikubali kukuvulia baada ya ndoa, safi sana, karibu kwenye chama, kama alikuvulia kabla ya ndoa, pole sana na uwe makini, hilo ni garasa, ulilihurumia na litakupa shida muda si mrefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.