Jk hanaga visasi,,angekuwa rais mwingine hao wangepotea haraka sana,jk alisubiri mda ndo uwe muamuzi mzuri,,,sasa hivi ukiwaulliza hao wachina waliouziwa gesi yote na jk mbona hatuwaoni?,hawana la kujibu,,
Karibuni tena walikuja na ushenzi wao wa kawaida eti bandari zote zimeuzwa kwa DP world,,😂😂🙆
Maswali Yako yamekaa ki darasa la tatu c,,,nimesema awamu yake ndio pekee nchi hii mawaziri wengi waliwajibishwa,,iwe kwa kujiuzulu,kifikishwa mahakamani,etc,,,
Kama unahakika jk alikula rushwa taja lini na wapi,sio unatuletea wasomi wakubwa mambo ya kubuni yasiyo na evidence
Jpm aliamini propaganda za wanachadema kwamba Rizwan alikamatwa china,Jk akapanda ndege usiku usiku kwenda kumkomboa china,by alfajiri akawa kisharudi toka china😂😂,eti JK aliwapa wachina gesi yetu in exchange for Rizone kuwa free🙆
Augustoons said:
Hapo ndio haja ya kuwepo waziri asiye na wizara maaalum au naibu waziri mkuu inakuwepo. Ila ni washenzi tu hakuna haja ya kuweweseka nani aongoze shughuli za serikali bungeni Batilda Buriani si yupo? yeye si ndio mwakilishi wa waziri mkuu bunge?
Naam mi ndio maana hapa JF...
We jamaa vipi,,si ufanye research,,kwani mi nalipwa hapa?,nimekutajia majina,,ina maana wewe una akili nzito sana hadi huwezi ku cross check mpaka nikufanyie kila kitu?
Augustoons said:
Hapo ndio haja ya kuwepo waziri asiye na wizara maaalum au naibu waziri mkuu inakuwepo. Ila ni washenzi tu hakuna haja ya kuweweseka nani aongoze shughuli za serikali bungeni Batilda Buriani si yupo? yeye si ndio mwakilishi wa waziri mkuu bunge?
Naam mi ndio maana hapa JF...
Hawa watu wanakuaga na nongwa za kijinga sana,,just imagine Tibaijuka alikuwa kamati kuu,,leo yuko nje ya cheo,,analaumu Lowasa kukatwa,,wakati na yeye alikua kamati kuu
Katika history ya nchi hii,hakuna awamu mawaziri wanewajibika kwa wingi kama kipindi cha jk,,kuna waluofungwa,kuna...
Ushaambiwa ni jk ndo alupiga stop Richmond kulipwa Advance baada ya ku deliver mtambo wao kuzalisha umeme,hii ni baada ya tuhuma kutokeza kuwa tender haikufuata procedure,,pili ile kampuni ya Richmond haikuwa na ofisi,yaani ilikuwa ni Briskef company🤷
Usaliti?,,kwamba sasa urais umekuwa wa kupeana marafiki siyo?,,🤔kwamba samia akimaliza awamu yake ni sawa tu akimuachia cheo Dr maua Daftari siyo?,,
Am surrounded by idiots....🙆
Jk hajawahi kumbatia wara rushwa,, kumbuka ni awamu ya jk ambako mawaziri kibao walifungwa na kufikidhwa mahakamani ,wengine kujiuzulu akiwemo lowasa,msabaha,karamagi,tibaijuka,idd simba,etc,
Naona hujaelewa,pohamba anamaana,baada ya kugundua kuna watu wake wanamzunguka concerning ishu ya Richmond,,JK alimpiga stop msabaha waziri wa nishati kulipa advance na akabariki kamati ya mwakyembe kufanya uchunguzi,,then things started to happen,,
Ni Rais wa ajabu tu atakubali mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.