Search results

  1. sibusiso dlomo

    Uchumi wa nchi, nyongeza ya mishahara na vyama vya wafanyakazi.

    Habari wandugu napenda kuanza nianze kuongelea uchumi wa Tanzania kwa sasa.ripoti mbalimbali zilionesha ukuaji mzuri wa uchumi wa nchi yetu na BOT pamoja na Mh polepole kusifia ukuaji wa uchumi katika rate ya 7.2%.nadhani ni jambo la kushangaza sana kutokana na habari tunazozisikia,ziona na...
  2. sibusiso dlomo

    Simu samsung A5 na s7

    Simu samsung A5 inauzwa kwa laki 3 na nusu bado mpya kabisa Samsung s7 inauzwa laki 6 na nusu Simu zote bado zipo katika hali nzuri sana
  3. sibusiso dlomo

    Kuongeza kodi kulinda uzalishaji wa ndani

    habari wandugu naomba kuchangia jambo moja hili la kuongeza kodi hili kulinda uzalishaji wa ndani..katika economics esp Trade economics hili swala limeongelewa sana sana...na katika watu waliojaribu katika nchi nyingi mara nyingi uwashinda kutokana nakuwa na mipango mibovu sijui kama nchi...
  4. sibusiso dlomo

    Naomba kuuliza kuhusu kukosea kutuma hela kwa airtel money to tigo pesa

    hello wandugu naomba kaushauri kidogo kuna ndugu yangu kakosea kutuma hela(laki 2) akamtumia mtu mwingine maana namba zinafanana sana sana alikosea kwenye 0717 akaweka 0714. sasa alivyokosea huyo aliyetumiwa nae kamtumia mwingine majina anayo na number anazo hivi kuna jambo lolote linaweza...
  5. sibusiso dlomo

    kama kweli kitwanga alilewa bajeti yake itakubalika au inakuwa void?

    habari wandugu leo katika soma soma zangu nikakutana na article moja ambayo inaongelea pombe.kwamba pombe inakufanya kuwa na maamuzi mabaya,kutokuwa na maamuzi ya busara..sasa kama mh Kitwanga kweli alikunywa bajeti yake itakubalika?au bajeti itarudiwa kujadiliwa though siamini kila mnywaji ana...
Back
Top Bottom