Mimi ni mkazi wa tabora TANESCO tbr kwa kweli wanatuangusha sana tumetowa ripoti shida ya nyaya toka Jana mpk leo hawajarudi.kifupi walichelewa kufika wakaangalia na kuzima umeme ila mpk siku ya Leo hawajarudi.Nyaya hizo hizo ziliwaka moto kipindi mvua ilikuwa inaonyesha.
Ninahitaji ushauri,
Mimi ni mfanyabiashara hapa Tabora na huwa nalipa SDL ya wafanyakazi bila kuwachelewesha malipo ya mwezi.
Tulivyoenda lipa SDL ya mwezi wa kwanza tukalipa na nikaambiwa malipo ya mwezi unaofuata tutalipa online tumefanya hivyo ila sasa ukiingia online ninaona imeandikwa...
Nyie TRA ni kiboko yani wamekuja hotelini na kuuliza wateja wangapi wamelala nikawaambia na kuwaonesha kitabu mpaka hapo sawa baada ya hapo leta Risiti nikawaambia wateja hulipa siku wanayotoka mara napewa barua na maofisa kwa kosa la kutotowa Risiti.
Kwanini mnakuwa waonevu nikaenda the next...
Naombeni msaada wapendwa nimenunuwa Umeme kwa hao Airtel sijapata jibu toka mchana na Pesa imeenda napiga number 100 machine to kwa kwenda mbele sitaki sikia hawa Airtel wanaudhiiii
Wazima wote?
Naomba mnisaidie nimenunuwa tabs moja yangu na nyingine ya mtoto, nilikuwa nauliza mtandao gani ni mzuri kwa kutumia ambao pesa ya internet itakuwa ya kawaida, nitashukuru nikipata jibu.
Kazi njema
Habari zenu...naomba msaada kuna mtu anajuwa kama kuna shule tabora mjini za kiingereza mtoto yupo darasa la kwanza.napendelea ya kiingereza sababu alizaliwa nje halafu na tz watoto wanaendelezwa vizuri na hiyo lugha.ahsanteni
Wazima humu?naombeni mnisaidie nataka kwenda kuhamia tabora mjini ila nataka nijuwe kama kuna shule nzuri kwa mtoto aliyekuwa darasa la kwanza.na nina hitaji ya kiingereza maana hata kiswahili bado hakijui alizaliwa nje ila ningependa aendelee na kiingereza. Ushauri please thanks a lot
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.