Search results

  1. Esperance

    SHACKIE: Twiga mnene kuliko wote duniani lakini nini asili na maana ya jina hili

    <br /> <br /> au nyati! Ni kibonge makusudi hasa.
  2. Esperance

    Nani kama mama?

    <br /> <br /> hakika mkuu.
  3. Esperance

    Hii Ni Heshima kwa wakwe Au Nini???

    Wanyakyusa ukimuona mama mkwe unatakiwa utoke nduki, msije tongozana.
  4. Esperance

    Namzimia na nitammisi sana huyu mbunge

    <br /> <br /> mmhh! Ntarudi!
  5. Esperance

    Askari wa kike wa kiisilamu (jeshi na polisi) waruhusiwe kuvaa hijabu

    Washiriki Miss tanzania wa kiislam wavae hijab??
  6. Esperance

    Namzimia na nitammisi sana huyu mbunge

    Ntammiss yule mbunge special seat CDM Esther..... Mapozi yake. Na yule mwingne wa ZNZ Mariam Msabaha.
  7. Esperance

    Pole sana Elia

    Pole mpendwa, mshukuru Mungu.
  8. Esperance

    Picha zilizo nihuzunisha moyoni mwangu ni hizi

    Mungu baba angalia watoto hawa! Uwaepushe na njaa na ukame. Amen!
  9. Esperance

    Ukisikiliza na kuangalia Bunge la Tanzani utasikia haya

    Nia thabiti na mipango endelevu, napenda kumpongeza mh wazir kwa hotuba yake nzur iliyojaa matumain tele kwa watz. Mwisho kabisa nimshukuru mke wangu mpenz kwa uvumiliv wake.
  10. Esperance

    Tahadhari majangiri National Parks Tz, wajeda wa JWTZ wamekabidhiwa rungu

    Hata hao JW wana njaa sasa yakitokea mapambano ndo utasikia. Selous game reserve kuna wasomali wanawinda swala wanauza nyama uarabun. Serikali legelege.
  11. Esperance

    Picha zilizo nihuzunisha moyoni mwangu ni hizi

    Picha za watoto zimenitoa machoz na kunihudhunisha siku nzima, Nawish ningekuwa front line kuwasaidia severely malnourished children. Na hao watoto wanahitaji chakula na dawa, within 14 days wanapona complications zote. Kunahitajika sustainable assistance.
  12. Esperance

    Namwachia nyumba mama mkwe

    <br /> <br /> mmhh! Umeelewa haya malalamiko??
  13. Esperance

    Namwachia nyumba mama mkwe

    <br /> <br /> thanx, hii nilikuwa sijaijaribu dear. Point taken.
  14. Esperance

    Namwachia nyumba mama mkwe

    &lt;br /&gt;<br /> &lt;br /&gt;<br /> ndg shukuru kama mamako ni mwelewa, haiwezekani watoto wote wa kiume 4 wake zao tuwe wabaya. Mama anaweza kukaa kwako miez 6 haumwi wala nini na kwake ni hapa hapa mjini na sio kama hajiwezi. Na kubagua wajukuu ambao sie wanawake sio wakabila lake??
  15. Esperance

    Namwachia nyumba mama mkwe

    <br /> <br /> ugomvi ulianzia kwa mtoto wangu, alimnyoa nywele kidogo, nikahoji akasema mimi sio kbila lao siwez kujua mambo hayo. Vita akaanzia hapo me sio wa kwanza kwenye hyo familia kukutwa na hayo.
  16. Esperance

    Namwachia nyumba mama mkwe

    <br /> <br /> FL hiyo mitishamba anadi sijakubaliwa kikwao ni kind of ushirikina. Wazazi wangu/ndgu wameshachoka na vikao, wanataka nirudi nyumbani.
  17. Esperance

    Namwachia nyumba mama mkwe

    <br /> <br /> kwake nauli ni tsh 600 tu wala sio kijijini.
  18. Esperance

    Namwachia nyumba mama mkwe

    <br /> <br /> ntamtoaje sasa ndg yangu. Kama mumewe kamshindwa.
  19. Esperance

    Namwachia nyumba mama mkwe

    <br /> <br /> mume wangu anajua kila kitu na mshenga ,wazaz wote wanajua kinachoendelea
Back
Top Bottom