Kodi ya pango (Withholding Tax) ambayo ndio chanzo cha mjadala mlipaji halisi ni mmiliki wa jengo(Mpangishaji) kwakua naye anafanya biashara ya kupangisha hivyo sheria inamtaka naye kulipa kodi ila kinachotokea ni kwamba mara nyingi mmiliki wa jengo ni ngumu kupatikana wakati wa makadirio hivyo...
Iyo reply uliyonukuu alikua anamaanisha kuwa kapply ni ya muda toka February mbili, alikua hamaanishi kuwa kafanikiwa kufanya text, ndo kitu nilikua najaribu kukujibu hapo juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.