Usaili wa mahojiano uliofanyika tarehe 26.05.16 pale chuo cha usafirishaji (NIT) kwa kada mbili za Customer Support and Accountant matokeo yake vipi?
Kwa taarifa za awali zilizotolewa siku ya usaili matokeo yangetoka ndani ya wiki moja na watakao faulu majina yatawekwa mtandaoni (DART website)...
....Natumai kuna wadau mbalimbali mlishiriki usaili wa mchujo wa nafasi mbalimbali zilizotolewa na DART pale DUCE jumamosi ya tarehe 21.05.2016.
Hoja yangu hapa ni mbili hivi;-
1. Kutudanganya kuwa majina ya watakao faulu usaili ule yangebandikwa pale DUCE, kuwekwa kwenye website yao na pia...
Watanzania bwana tuna chekesha kweli wakati mwingine, kwa akili za kawaida mtu aingize bidhaa (sukari) yake kwa gharama kibao anataraji auze arudishe pesa yake na apate kafaida kidogo nyie mnasubiri mpewe bureee kisa rais kasema atagawa bure akiwakamata walioficha sukari.
Tutafte mambo ya...
Usilolijua litakusumbua aisee, kwa hiyo nawe na elimu yako unauliza kama imeanishwa kwenye katiba??. nna wasiwasi hata hiyo katiba hujui cover lake likoje!
Sina haja ya kukuwekea ibara au vifungu toka kwenye katiba ya mwaka 1977 lakini jua raia una haki ya kupata taarifa, habari zinahusu Nchi...
..Toka Bunge la 11 limeanza kumekuwa na sintofahamu sana kuhusu kuonyeshwa kwa Bunge hilo live (isipokuwa kipindi cha maswali na majibu tu) kupitia vyombo vingine vya habari, TBC tayari waziri mwenye dhamana alisha tuambia kuwa wanapunguza matumizi kwa serikali.
Huyu kiongozi wetu "mtumbua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.