Search results

  1. E

    Chanzo cha Mafuriko Morogoro mjini ni tuta la SGR, mamlaka zishughulikie hili

    Natamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji. Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye...
  2. E

    Msaada wa jinsi ya kubadili Kadi ya gari, aliyeniuzia naye alilinunua kwa mtu na hakubadili umiliki, Kadi bado inasoma aliyeliagiza nje

    Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema! Nimenunua gari kwa mtu ambaye naye alilinunua kwa mtu na hakuwa amefanya mabadiliko ya kadi. Nia yangu ni kuwa na kadi ya gari kwa jina langu. Kadi bado inasoma mmiliki wa kwanza. Nina document za mwanasheria za ununuzi. Naomba msaada wa taratibu za...
  3. E

    Kesi ya masheikh wa Uamsho vs Kesi ya Mauaji ya Lulu: Haki iko Mbinguni

    Najaribu kuunganisha Kesi ya maimamu wa uamsho na Kesi ya mauaji ya Lulu aliyetoka kwa Msamaha Leo. Hawa masheikh hawajaua wala kumuibia mtu. Huu ni mwaka wa nne wako ndani, haijulikani mwisho wao. Binafsi sioni tofauti ya walichokifanya hawa masheikh na waraka wa Maaskofu Wa KKKT, au...
  4. E

    Namfua: Singida United imefuzu kwa kuichabanga Yanga goli 4 kwa 2 kombe la shirikisho

    Mechi ya mwisho ya robo fainali imechezwa katika dimba la Namfua, ni mtanange wa kukata na shoka. DAKIKA 90 ZINAKAMILIKA WANAENDA KIPINDI CHA PENALTI Dak ya 89, Pigwa hukuu Yanga wanaokoa na kupiga Counter Attack, mpira unakwenda nje Dak ya 78, Chirwa anashindwa kumalizia vema kazi nzuri ya...
  5. E

    Udini kwenye teuzi, na ulioko kwenye mashirika ya Umma hauonekani, ila ulioko kwa Bakhressa

    Tangu asubuhi leo mods wameziachia threads zinazolaumu udini Azam. Kila mtu ni shadidi udini ulioko kwenye teuzi, na kwenye mashirika ya umma kama vile Tanesco, PPF, PSPF, Mawizarani etc, huo hauonekani. Mods wamegoma kuondoa threads za kumsema Bakresa lakini za kuonyesha uozo wa udini...
  6. E

    Kwanini Papa, Anglican na Lutheran duniani wanampinga Trump kuutambua Jerusalem kama mji Wa Israel?

    Papa Francis amekuwa akilipinga tamko hili Kwa nguvu sana hadi Leo siku ya Christimass karudia tens. Nimekuwa nikiwasikiliza pia viongozi Wa kianglican uingereza, na kilutheri pia! Mbona msimamo wao in tofauti sana na wakristo Wa hapa Tanzania? Kuna nini juu ya upingaji wao? Au wao sio wakristo...
  7. E

    Tuweke kumbukumbu sawa, Bethlehem alikozaliwa Yesu sio Israel, ni Palestine

    Nimekuta ubishani wa nchi alozaliwa Yesu. Kwamba mji huu wa Bethlehem upo Israel au Palestine? Jibu sahihi ni kuwa Bethlehem IPO nchi ya Palestine ambako 95 % ni waislamu. Ni mji uliopo kusini mwa Jerusalem. Kama Bethlehem IPO mikononi mwa waislam, basi Jerusalem pia itaingia mikononi mwao. Hii...
  8. E

    Mke wa Kafulila, Bi. Jesca Kishoa aondolewe CHADEMA haraka iwezekanavyo

    Kwa maoni yangu, baba akishahama hakuna sababu ya mama kuendelea kubaki. Ni dhahiri Kafulila ameahidiwa ulaji fulani CCM. Jesca atakuwa anatumika kupeleka siri za chama Kwa wapinzani wetu. Lakini pia haiwezekani ufanye kazi Kwa Yusufu ukale Kwa Musa. Waondoke tu wote. Jino Kwa jino
  9. E

    Yaliyojiri, Mashindano makubwa ya usomaji wa kitabu kitakatifu Qur'an leo 11.06.2017 uwanja wa taifa

    Ni ngumu kuamini lakini ndivyo itakavyo kuwa lnshaaAllah. Sheikh Sudeis ndani ya Uwanja Mkubwa wa Taifa. Al-hikma Foundation inawaalika waisilamu na watu wote kuhudhiria Mashimdano Makubwa ya qur-an yanayofanyika leo jumapili tarehe 11/6/2017 katika uwanja mkubwa wa Taifa. Share ujumbe huu ili...
  10. E

    Kuamini sana miujiza na kupenda kuombewa ndo sababu kuu ya wakristo kuburuzwa na matapeli Africa

    Ni ukweli usiopingika kuwa wakristo wanaamini sana miujiza! ukiwaambia unauwezo wa kuponya vilema na kuwaombea wapate magari kesho watafurika hadi ukose nafasi ya kukaa. Ni watu wasiojiamini kuwa wanaweza kujiombea wao wenyewe na kwamba Mungu atawasikia bila kupitia kwa mtu -mchungaji! hizi ndo...
  11. E

    Updates Yanga vs Prisons leo tarehe 06. 05. 2017

    mwenye update tafadhali arushe hapa
  12. E

    Updates Yanga vs Prisons leo tarehe 06. 05. 2017

    mwenye update tafadhali arushe hapa
  13. E

    Kwanini uhakiki wa Vyeti haukufanywa kwenye vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kama Jeshi la Polisi?

    Ukiangalia orodha iliyotolewa ya wafanyakazi wenye vyeti vya kugushi huwakuti polisi, wanajeshi wala askari magereza! Au huko hakuna aliyefoji?
  14. E

    Kwa wanayofanyiwa wapinzani awamu hii, JK hakuwa dhaifu, ulikuwa ni Utu wake!

    Mpaka sasa viongozi 255 wa upinzani wanasota na kesi zao wengi wakiwa ni chadema, Mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku Bunge live halipo tena Mbowe amefilisiwa na kubambikiwa madeni makubwa na leo yupo kwenye list ya wauza unga Lema ndani anasubiri hukumu tu, wasiwasi kuvuliwa ubunge...
  15. E

    Nitawashangaa sana Kagera na wanafunzi wa vyuo kama watamchagua Magufuli 2020

    Mpaka sasa wakazi wa kagera walioathirika kwa tetemeko hawajapelekewa misaada japo michango imechangwa kwa mabilioni. Kwa upande wa wanafunzi wa vyuo vikuu mikopo imepungua sana kati ya maombi 88,000 waliopata ni 20 tu! Nitayashangaa sana haya makundi kama yatamchagua raisi wa sasa kwenye...
  16. E

    Hii nchi haijawahi kuishiwa chanjo za watoto wala vitabu vya passport ila awamu hii, kulikoni?

    Hati ya kusafiria ni haki ya kila mtanzania na haijawahi kutokea eti vitabu vya passport vimekwisha ila awamu hii. Watu walioomba kwa zaidi ya miez mitatu hawajaipata passport zao kisa vimekwisha vitabu. Ina maana ni vile vitabu alivyoviacha Jakaya Kikwete vilipokwisha ndo basi tena. Jambo la...
  17. E

    Waziri Mahiga amemuwakilisha Rais Magufuli mkutano wa Umoja wa Mataifa, atatoa hotuba 26 Septemba

    SIKILIZA JIONEE MWENYEWE MAAJABU HAYA Waziri wa Mambo ya nje Augustine Mahiga amemuwakilisha Rais Magufuli kwenye mkutano wa ujumbe wa kimataifa Waziri Mahiga atahutubia baraza la umoja wa kimataifa tarehe 26 Septemba, atazungumzia kuhusu mfumo wa uchumi duniani kutazamwa tena upya ili kutoa...
  18. E

    Kwa kujifungia ndani, watalii na wawekezaji kuongezeka awamu hii ni ndoto

    Bado sioni logic ya kujifungia ndani kwa viongozi wakuu wa kitaifa. Tanzania ni ambayo ilishaanza kujulikana kimataifa hasa kipindi cha awamu ya nne. Kujulikana huku kulisaidia sana kuvutia wawekezaji na watalii. Mfano kabla ya mwaka 2005 tulikuwa tukipata watalii 600,000 (laki sita ) kwa mwaka...
  19. E

    Kwanini mzigo huu waliouanzisha wayahudi waachiwe waafrika?

    Hili ni swali ambalo limekuwa likinitatiza sana! Zigo hili walilitengeneza wayahudi zaidi ya 2000 iliyopita, mara baada ya kulitengeneza wakalipeleka Italy wao wakaendelea na mfumo wao maisha wa kawaida. Waitalia wamehangaika mao sana wakisaidiana na wazungu wengine Ulaya na Marekani, walivyoona...
  20. E

    Rais Mkapa ni bingwa wa kiingereza, jamani kiingereza ni muhmu (sikiliza clips) hizi

    BADO NAENDELEA KUSISTIZA UMUHIMU WA KIINGEREZA KWA MKUU WA NCHI,NAOMBA CHUKUA MUDA SIKILIZA CLIPS HIZI ZA BINGWA WA KIINGEREZA ACCORDING TO JK BW MKAPA INTERVIEW WITH CAPITAL TALK MKAPA ON ZANZIBAR ELECTION PRESENTING ON INVESTMENT CLIMATE INTERVIEW WITH UONGOZI INSTITUTE WITH A...
Back
Top Bottom