Naombeni ushauri maana nimechanganyikiwa nilifanikiwa kupata mpenzi huku mtandaoni ninampenda sana ila juzi nilikuwa nachati na mkaka mwingine whatsup,yupo zimbambwe sio mtanzania tulikutana siku moja airport.
Huyu mpenzi wangu akachukua simu yangu akaniuliza huyu kaka unachati nae ni...
Kwanini wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye kipato? Masikini tutaenda wapi? Kwanini hamuwezi kutuendeleza? Kututafutia kazi au biashara? Mnataka mama wa familia au hela?
Sina mpenzi yoyote natongozwa na wanaume wengi tu na ninawakubali lakini hakuna kinachoendelea kati yangu na wao bado nipo mpweke.
Nifanyeje niwe na mtu permanent wa kwangu mwenyewe?
siku moja baada ya biashara ya forex kutangazwa humu ,niliweka thread hiihttps://www.jamiiforums.com/threads/onyo-forex-trading-haina-mamlaka-ya-usimamizi.1314443/
mlinitukana wee nikawaambia bora niwafundishe kuuza mbege . uongo si uongo yule jamaa yenu si ni broker na hela zenu...
nielewe sijasema forex trading ni feki.ila hii ya kuita watu wakatrade ni feki katika watu mia tatu hata kumi hawatafika watakaopata hela.acheni kudanganya watu .kwanza mnahujumu uchumi.watu mia tatu kila mtu akitoa m moja ni sh ngapi hyo ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.