Habari,
Husika kichwa cha habari hapo juu.
Mm ni Fresh Graduate natafuta nafasi ya intership kada ya Account ili niweze kugain experience. Nilifanya field TRA na NSSF na pia nina cheti cha VETA cha information computer technology (ICT). Nina ujuzi mkubwa wa computer pia.
Nawasilisha
Msaada King'amuzi cha azam kinaniletea ivyo shida ni nn
Shifa nyengine nikijaribu kusearch zinakuja channel za startimes sijajua shida ni nn wakati mwanzo zilikuwepo channel za azam
Heslb tunaomba ufafanuzi, kwann mmeondoa hela za field kwa sisi wanafunzi wa vyuoni..mnategema tutasurvive vp huko kwenye ofisi za watu embu kuweni na huruma kwa binadamu wenzenu basi hayo sio maisha kabisa embu fikirieni ndo umeenda kwenye ofisi ya watu hupewi hata senti 5 hv mnazani tutaishi...
Habari zenu wakuu,
Naombeni msaada wa kiafya, mwezi wa 8 nilikumbwa na ugonjwa wa kuwashwa ambapo nilianza kuwashwa mikononi nilivyokuwa najikuna nilikuwa natoka na vipele nikaenda hospitali nikapimwa nikaambiwa ni allegy na kupewa dawa nitumie. Nilimaliza dozi ila sikuweza kupona mpaka ilifika...
-BACHELOR IN HUMAN RESOURCES
-BACHELOR IN PUBLIC ADMINISTRATION
-BACHELOR IN BUSSINESS ADMINISTRATION
-BACHELOR IN LAW ENFORCEMENT
-BACHELOR IN PROCUREMENT AND SUPPLY CHAIN
-BACHELOR OF BUSINESS IN INNOVATION AND ENTERPRENEURSHIP
-Bachelor of Commerce in Accounting
-Bachelor of Accounting and Finance in Public Sector
-Bachelor of Accounting and Finance in Business Sector
-Bachelor of Acounting and Finance
Na pia chuo kizuri kwa izo kozi
- UDSM
- UoI
- Mzumbe
- TIA
Na je kozi gani ni nzuri katika soko la ajira?
Habarini wakuu natumaini ni wazima,
Naomba nipewe maelekezo hapo kwenye requirements za TCU na Mzumbe university. Picha ya kwanza ni from TCU na ya pili from Mzumbe wametofautiana katika maelezo.
Habari wakuu,
Kiukweli hili jambo linakera mno, mimi nilifanikisha mambo yote yaliyoitajika kama vile copy ya cheti cha kuzaliwa, cheti cha shule na baadhi ya vitu vingine ili niweze kupata namba au kitambulisho cha NIDA ambapo ilikuwa mwezi wa 9 mwaka jana yaani 2019 mpaka leo hii nishaenda...
Habari za saa hizi jamani, Poleni na janga la korona
Guys naombeni msaada kwa kweli nilianza kutoka vipele vidogo kwenye mkono nilienda hospitali nikaambiwa ni allegy nikapewa dawa za kutumia lakini naona ndo kwanza vinazidi kunitoka.
Hivi vipele hadi sehemu za siri na vinawasha balaa...
Intel celeron CPU B820 1.70GHZ
BRAND: Samsung
HDD:350 GB
RAM:2GB
BATTERY:2HRS
Tatizo: left click yake inasumbua kidogo
Bei:nakaribisha offer zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani mwenye taarifa kamili anijuze hv huu ukataji wa umeme karibia mara 3 mpaka mara 4 kumesababisha na nn? maeneo kama kimara umeme una katikakatika tu yaani mpaka hapa naongea umeme umekatika tangu saa 8 usiku haujarudi hadi sasa hv.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habari kinavyosena hapo juu, ni kutokana na kazi ninayofanya ya ku stay long time working on a computer ndo imepelekea hivyo. Macho yangu yanakuwa yanauma nikikaa sehemu zenye mwanga pia hata taa.naomba mnisaidia ndugu zangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.