Nimegundua Watanzania wengi ni wagumu wa kutafuta Maarifa. Kwa maswali ulouliza inaonekana unaishi nyuma ya muda. Kifupi tu, Masomo yote hayo yanatoa walimu, na baadhi ya shule zina walimu, na baadhi ya walimu wa masomo hayo, hawana kazi.
Mkuu waombe Modes waedit hiyo heading I am afraid to say that it is ungramatical, I suggest (How will the world end) au (How does the world end) lkn ikiwa how does the world will end, naona haijakaa vizur. To my understanding.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wanaokwenda vitani ni Wanajeshi sio watoto. Na hio ndio kazi yao. Walokua wakilipwa/wanalipwa/watalipwa mshahara na Kifo ni sehem ya kazi yao,. Kwa wote walopita Jeshi wanalijua hili.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimekwambia tena kasome Rules of engagement.
Russian aki violate basi Ukraine aviolate and vice versa. Na asije mtu akalalamika et Russia anapiga raia au Ukrain anapiga rai.
Retaliation yoyote, basi tuikubali.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hiv naeza tumia njia gan kupata saut kwenye Radio kutoka kwenye Tv yangu maana TV haina AV output. Ina HDMI tu, na Optical. Naombeni ushaur wataalam. Ninunue kifaa gan
[emoji635][emoji3538][emoji1255] Interesting rumors coming from Turkish sources
According to them, Ukrainian Ground Forces Commander Syrsky informed Zelensky that things are going poorly in Artyomovsk. Syrsky allegedly said that counterattacks in the past three months have yielded little...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.