I will always love you, am soo sad, lakin nashukuru kwa yootee
Gud by my lover -james blunt
I want to live with a girl like u
thank u maisha bila wewe hapa yalikuwa so boring but i have to go, i think life will be more boring tena
Siku tatu tuu baada ya kujiunga na Jf nlikuja hapa , nilikuwa nna like 9 ya kumi ndo nme ipatia hapa mpaka sasa nna likes karibu 25,000 na zaid, kote huko nilisemwa kwa sababu ya ugeni wangu, lakini hapa mlinikaribisha kwa like [emoji3] ,i said i will always be here i wont go any...
Nshukuru sana prezda (nlikuita hvo kipindi nakuja leo nnavo ondoka naomba unruhusu tuu nitumie [emoji3] )Wana KF ni watu poa sana yaan nadhani nyie ni watu wazuri mara kumi yangu.
Yes segment inahitaji utayari, na muda mengne yoote mtu anaye ya weza akipendekezwa ata master tuu
Nime furahishwa sanaa the way mlikuwa mna appriciate nnavo vifanya hapa , mimi ntawa miss sana wakuu
Endelea na ule utaalam wako wa kupiga pande zote zote[emoji3]
Halaf Nlishndwa ku keep ahadi ya Nixon lakin uamuzi huu siku tegemea kama leo uta fanyika so
I hope uta fuatilia mwenye vizuri...
Szczesny ana ondoka kf na jf
Ana endelea na program nyingne za maisha
I will miss u shemej
I regret skuwa man fongo kwako[emoji23]
Nakukubali sana, mpe hii manuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hiyo ki ufupi jf ita kuaga wewe
Nimeona kupotea kimya kimya siwatendei haki ndugu zangu pia sjitendei haki mie pia
Thanks sana mkuu thread hii ime nisaidia sana pia
Nme elimika
Nime cheka
Nime enjoy
Nme pata updates kibao
Yaliyo anza muyaendeleze watu wapya wana kuja kila day hapa
Kama barca ana toka mtu ana ingia mtu.
Mungu akubariki mkuu
Watu wengi wamekuwa wakija na kutoka kimya kimya, ila mimi hapa palikuwa kama hom, now mambo ya JF naachana nayo tuu, na JF kwangu ilikuwa ndo hii, so nkaona ni bora ni wape watu proper farewell
Naenda wap!? Aaa any where around the world, ni chill na nini
In short Szczesny ana enda kupimzika...
Thanks Baba mkwe
Life yangu ya dunian nta endela nayoo
Ila nta miss sana shughuli za humu
Am very boring as a person kwenye life yangu ya kawaida hahaha
Hahaha
I'll miss u mkuu
Mambo ya babu mkombe [emoji3]
Take care of her
Hahaha by the way i was calling her swt p , then na wew una muita kifupi
Salute mzazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.